¡Holla! E ai galera, tudo bem? . Natafuta mtu / watu wa kuwasiliana naye / nao kwa kutumia lugha hizo hapo mbili kama sehemu ya kujifunza.
Kama upo tayari naomba tujulishane na tujadili ni njia ipi inafaa ku-practice lugha hizo (chatting, voice messages, calling etc), kwa sababu naona kadri...
Jinsi ya kutamka baadhi ya maneno ya Kiingereza kwa lafudhi ya Nigeria:
Google - Gugu
Husband - Ozzband
Arsenal - Ass Na
Paper - Pay Pa
Concern - Con Son
XBOX 360 - Eggs Bugs Tree Sisty
McDonald's - Magdonass
Safe Journey - Save Johnny
Order Chinese - Hoda Shy Knees
Happy Birthday -...
Mtoto: Kwa nini umenunua nyumba kubwa hivi?
Dingi: Pesa ni zangu, nazifanyia vile nitakavyo.
Siku iliyofuata dingi akamnunulia mtoto mdoli (mwanasesere)... Haikuchukua muda dogo akauchomoa mkono wa mdoli.
Dingi: Kwa nini umeuchomoa mkono?
Mtoto: Mdoli ni wangu, naufanya vile nitakavyo.
Siku...
Habari wanateknolojia. Nimenunua modem mpya (3.5G HSUPA, 7.2Mbps), SIMCARD inadetect, tatizo lake mnara hausomi (inaandika x sehemu ya bars za mnara). Nini suluhisho la tatizo hili? Natanguliza shukrani.
Kama kichwa kinavyojieleza wadau. Nimechomeka waya wa Sub-Woofer ambayo ilikuwa imewaka (2 in 1) kwenye pc aina ya hp, ghafla ikazima... na haijawaka tena hadi hivi sasa.
Nimejaribu kutoa betri na kuiwasha ikiwa imechomekwa moja kwa moja kwenye chaja, taa ya chaja inawaka, lakini pc haiwaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.