Wengine watasema "British Overseas Management Administration", wengine "British Overseas Military Administration" wengine "British Officers Mess Area". Lakini hizo zote ni 'myths' za uongo juu ya neno boma.
Ni neno ambalo lipo kwenye lugha ya Kiswahili hata kabla ya waingereza kuja nchini...
¡Holla! E ai galera, tudo bem? . Natafuta mtu / watu wa kuwasiliana naye / nao kwa kutumia lugha hizo hapo mbili kama sehemu ya kujifunza.
Kama upo tayari naomba tujulishane na tujadili ni njia ipi inafaa ku-practice lugha hizo (chatting, voice messages, calling etc), kwa sababu naona kadri...
naunga mkono upigaji kura wa siri, lakini usihusishe walimu tu bali jamii nzima pia kura hizo zisipewe conclusion bali uwe ni mwanzo tu wa uchunguzi dhidi ya vitendo hivyo.
story ipo nusu, yamepita masaa 14 hakuna mwendelezo... let me tell you something mtoa post.. siku nyingine kabla hujatoa post yenye vipande, either (a) hakikisha umeandaa stori yote kwanza ndipo uanze kutupia humu au (b) uwe na muda wa kutosha kuandaa sehemu inayofuata kabla arosto haijapanda...
Jinsi ya kutamka baadhi ya maneno ya Kiingereza kwa lafudhi ya Nigeria:
Google - Gugu
Husband - Ozzband
Arsenal - Ass Na
Paper - Pay Pa
Concern - Con Son
XBOX 360 - Eggs Bugs Tree Sisty
McDonald's - Magdonass
Safe Journey - Save Johnny
Order Chinese - Hoda Shy Knees
Happy Birthday -...
Mtoto: Kwa nini umenunua nyumba kubwa hivi?
Dingi: Pesa ni zangu, nazifanyia vile nitakavyo.
Siku iliyofuata dingi akamnunulia mtoto mdoli (mwanasesere)... Haikuchukua muda dogo akauchomoa mkono wa mdoli.
Dingi: Kwa nini umeuchomoa mkono?
Mtoto: Mdoli ni wangu, naufanya vile nitakavyo.
Siku...
1. Marijuana a.k.a bangi a.k.a cannabis a.k.a msuba
Wanaume wengi ndio watumiaji wa hii kitu.
2. Wizi
Wanaume ni wezi kuliko wanawake, sihitaji kueleza sana wanyonge huelekea wapi kuwashughulikia hawa watu.
3. Pilikapilika nyingi za maisha
4. Kichwa cha familia
n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.