Nimesikia hii habari lakini sijui ina faida ipi kwa mkulima, na inafanyaje kazi. Kwa ujumla napenda mwenye kujua kwa undani kuhusu eKilimo anifafanulie tafadhali.
Natanguliza shukrani.
Rais Magufuli atengua uteuzi wa DCI, Diwani Athumani Today at 4:18 PM
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkinga Oct 18, 2016
Rais Magufuli atengua uteuzi wa RAS Kagera na DED Manispaa ya Bukoba Sep 27, 2016
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya...
Na kwanini Rais asirudi na kujadili hili swala na cabinet yake, kaandika kwenye Facebook na kabaki huko aliko aki enjoy maisha. Wangekuwa ni viongozi wa Ulaya ama Marekani wangerudi nyumbani ili kupata maelezo ya yaliyotokea.
Hapo hapo wanasahau kuwa kuna watu wanalipwa mshahara kwa sababu ya siasa, mfano makatibu wakuu wa chama wilayani, mikoani na Taifa, wenyeviti wa vyama wilayani na mikoani na wengineo wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.