Bernad Membe katika uhai wake na katika utumishi wake wa miaka 35 yaani tangu (1980 -2015) ameshika nyadhifa na madaraka nyeti maeneo mbalimbali nyeti lakini hakuna jipya analoweza kusimama nalo kifua mbele kujivunia mbele za umma hata jamii imuone ni mtu wa maana kumuamini.
Membe amekuwa...
Rais anaendelea na ziara yake mkoani Mbeya ambapo asubuhi hii ataweka jiwe la msingi katika ujenzi wa maktaba ya chuo kikuu cha teknologia (must) na kuzindua upanuzi wa kiwanda cha Mbeya cement.
Haya yote ni katika kuwaletea wananchi maendeleo. Hakika Rais Magufuli ameweza na anazidi kuipaisha...
Hotuba ya Mh Rais inaendela hivi sasa, live kutoka wilayani Kyela mkoani mbeya, Rais anawashukuru wananchi wa mbeya kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mkutano huo na mapokezi makubwa waliyomfanyia. anasema kila alipopita alikuta wananchi wamejitokeza kwa wingi barabarani kwa ajili ya kumlaki.
Rais...
IKO MUBASHARA HIVI SASA. RAIS MAGUFULI ANAZINDUA KIWANDA CHA PARACHICHI WILAYANI RUNGWE MKOANI MBEYA. KIWANDA HIKI KITA ACCOMODATE MAPARACHICHI YOTE YANAYOZALISHWA KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI.
UPDATES....
RAIS ANAHUTUBIA HIVI SASA, ANAWASHUKURU WANANCHI WA SONGWE KWA JINSI WANAVYOCHAPA KAZI NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.