Pole sana ndugu yangu.. Sema wewe itakuwa unamatatizo. Huwezi kumchekea kwa swala la kuvunja vitu. Mwambie akanunue yeye alivyovunja. Kama inakuwa shida sana muolee mke mwingine atakuwa na adabu tu.
Hali sio nzuri manisapaa ya songea, Imani za kishirikina zimetawa mjini mzima songea, Tokea ijumaa mpaka ijumaa mpaka leo wamekufa watu wanne na kila mtu akiuliwa anachukuliwa sehemu za siri lakini jeshi linakanusha hizo habari. leo watu wameandamaana kwenye maandamano hayo mpaka sasa wamekufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.