Sitaki kusema mengi ila kama ni mwanaume Mimi tu ndo zinanipa tabu basi sinabudi kuvumilia.
Kiukweli nikikutana na mdada amevaa hizi awe mwembamba au mnene napata shida Sana hasa ukute shape kajaaliwa. Hata kama kuna jambo nafanya muhimu napoteza concentration kabisa naeza haribu
Kazi...
Kwa wale wanajamii wafatiliaji wa muziki wa kufoka (Hip Hop) nadhani hayo majina na kilichokajiri haviwezi kuwa vigeni kwenu.
Kwa uchambuzi wa kawaida tukizingatia ushairi, style na production nani alimuua mwenzake kwenye zile disstracks? Zingatia hayo niliyoyasema Ushairi, Rapping style...
Dada zangu kabla haujaingia kwenye mahusiano na jamaa yeyote yule.
Akianza kukusumbua fanya hivi...
Chukua picha yake post facebook, instagram, twitter, Snapchat na WhatsApp status uliza huyu boyfriend wa nani..?
( Hakikisha unamTag )
Kama ikipita wiki hakuna alojitokeza
Kusema ni wakwake, uko...
Top 10 Greatest Philosophers in History
This list examines the influence, depth of insight and wide-reaching interest across many subjects of various “lovers of wisdom,” and ranks them accordingly. It should be noted, first and foremost, that philosophy in its traditional sense was science –...
Kuna kipindi mwaka 2007 ilitokaga ngoma flani (nmeisahau kidogo) ila Jay Moe alishirikishwa then kwenye punch za MOE aliandika
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// WASHTUE WADOGO ZAKO WAACHE PODA WALE MMEA//"
Halafu ikatoka ngoma ya Langa tena ilitoka ghafla bila kudhamiria kwa madai yao. Ndani...
Mwalimu wa shule ya Msingi niko Wilaya ya Newala mkoani Mtwara.
Natafuta mtu wakubadilishana nae kituo cha kazi alieko Pwani au Dar es salaam au Tanga mjini.
Ahsanteni
Baada ya kuroot simu ya huawei kestrel G 535 imeandika neno unfortunately huawei home is stopped na app zingine ila nikitouch OK kwenye zingine neno hilo linatoka ila mwisho linabaki la huawei home is stopped ukiclick OK halitoki na haiendelei kokote.
Solution yake ni nini? Kwa anaeweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.