Ulichokiandika ni fikirishi, Chadema kweli wanahitaji kuchukua hatua.
Lakini nakushauri katika uandishi wako kutokuweka pamoja alama ya mshangao (!), alama ya kiulizo (?) na alama ya kituo (.) au alama ya kituo kidogo (,) katika sentensi zako.
Kabati zuri kwa mwonekano lakini ni 'delicate' sana. Halihitaji kuguswaguswa, la sivyo litasambaratika ndani ya siku mbili. Niliwahi kulinunua kwa ajili ya kuhifadhia nguo za mapacha wangu, walivyo watundu sasa, kabati lilidumu mwezi mmoja tu.
Kwa kweli "it was interesting". Sina uhakika kama wanatoa compensation kama wamekupatia accommodation. Lakini kwa kuwa dhana nzima ya kutoa fidia ni usumbufu uliojitokeza katika safari ya mtu husika, nadhani aliyepewa accommodation pia anayo haki ya kupata fidia hiyo. Ikumbukwe kuwa wewe kama...
Stockholm, Sweden <--> Dar es Salaam, Tanzania
Ilikuwa December 10, 2019 nikisafiri kutoka Stockholm (Arlanda Airport) kuja bongo kupitia Amsterdam kwa kutumia KLM Airlines. Ratiba ya safari ilikuwa nitoke Stockholm saa 12:30 asubuhi (yaani 6:30 am) na kufika Schiphol Airport (Amsterdam) saa...
Naomba msaada tafadhali, kwa waombaji wa Ualimu Grade A, kwenye kipengele cha Academic Qualification pana shida. Cheti cha Grade A kimetolewa na NECTA, lakini panahitaji kujaza NACTE Candidate Number. Ukiandika index number ya mtihaniwa wa Ualimu unapata notification 'No data found', pengine kwa...
Mimi pia natumia Xiaomi redmi note 4, (3GB RAM, 32GB ROM) iko vizuri na battery yake iko poa. Tatizo lake ni moja, volume ya sauti wakati wa kuongea kwenye normal voice call ni kubwa, hata nikipunguza haipungui zaidi ya ukomo uliopo. Sijui ni simu yangu tuu, au zote ziko hivyo.
Habari wanajamvi!
Kama mada inavyojieleza, shule ya sekondari Miono iliyoko wilaya ya Bagamoyo na ambayo ni ya wanafunzi wa A-level tu, wasichana na wavulana, na wote wakikaa bweni, haina maji kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Taarifa nilizozipata kutoka kwa mdogo wangu ambaye anasoma katika shule...
Rejea barua yako ya ajira, imetaja kiwango chako ambacho unastahili kupewa kama ongezeko la kila mwaka. Hicho ulichopewa leo ndiyo stahili yako. Siyo wote wamepata kiasi hicho.
"A new way of expression is that exquisite poem-Haavikko is only rarely" to say ", which can be for the patient to explain. The framework for the modern runoudelle often characteristic of the pregnancy and the opacity of the poems, however, are a long way off.. Haavikko. the 20-year-old author...
Kiukweli hata mimi nilishangaa kumsikia mheshimiwa JPM kutaja kuwa tatizo ni wanafunzi kutokuwa na sifa stahili huku waziri wake akimtangulia kwa kusema kuwa wahadhiri wa UDOM waligoma kuwafundisha kutokana na madai kadhaa, na hivyo ilikuwa ni busara kuwarudisha nyumbani kwa muda ili kusubiri...
Ndugu wana JF, wasalaam!
Kwanza nianze kwa kutoa pongezi kwa raisi JPM kwa kuwezesha mashine mbalimbali, ikiwamo MRI na CT scan, za kupima afya zetu kuwapo pale hospitali ya Taifa Muhimbili ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikifanyiwa mizengwe ili mradi tu huduma isipatikane hospitalini pale na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.