Peculiar,peculiar!
Kwanza Jmosi ni nusu siku ya kazi kikatiba, the fact is, kwa jinsi dunia inavyozidi kuwa kijiji kwenye cloud, ndivyo akili zinatakiwa ziifuate katika kufikiria, ukijiwezesha kupumzika hata wiki nzima its fare for you! Lakini, inapokuja kufikiria kwa undani, uwaekezaji...
Amen,Kubarikiwa kwafaa kwa wote bila ubaguzi, maoni yangu kwenu nyote ni kwamba, kama muungano unatakiwa kuendelea, basi ni wakati muafaka wa kuutafakari, je i nchi zipi zinazounda muungano, zingatia upand mmoja tu ndo unaonekana kung'ara, Zanzibar, Serikali, bunge n.k kasoro kutambuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.