Much as I admire Magufuli na nina appreciate kazi nzuri inayoifanya lakini kwenye hili naungana na msemaji juu hapo mradi huu ni white elephat. Walioubuni wamekurupuka kwa sababu zifuatazo:
1. Si kweli msafiri atafika haraka Bagamoyo kwa sababu always boat ni slower that gari
2. Bahari hususan...
Ushauri kwa MODS; Tunaomba mfungue forum maalum ya Lowasa maana sasa ishakuwa kero. Kila thread Lowasa kila post Lowasa. Anzisheni jukwaa la Lowasa ili nasi tupumue
Neno sahih ni udhi na sio uzi. Unataka kutuaminisha anaesambaza hizo picha ni Waziri Membe kwa ushahidi upi? au unataka kusema alieanzisha huu uzi ni Waziri Membe?
Membe kawa "Personal assistant" wa Wassira mpaka amrekebishie vishikizo vya koti? acheni mapenzi ya kijinga na lawama zisizo na msingi. Huyu mzee wenu toka anatoka kwa mkewe, dereva wake, msaidizi wake wote hawakuona kama mzee kavaa sivyo ndivyo, mpaka lawama kwa Membe?
Eti wapiga picha wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.