Nyimbo inaitwa NINGETAWALA
Ni nyimbo za mwanzo kabisa baada ya Kundi la Wateule kuanzishwa baada ya kuunganisha wasanii hao waliposhinda talent show moja iliyoandaliwa hapa DSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal
hayo maswali yote Lissu keshayajibu,
better stay quite than openly demonstrate to people kwamba now unalilia sana mkate.
Bro...this is too low to your level
Dogo, thid is one of the best advice i ever come across, huu ushauri wako madogo wakiufuata watafika mbali sana,
Achana na hao wanaopenda kukosoa kila kitu, by the way, naamini uko mbali sana zaidi yao kiakili, so stop arguing na hao watu for no reason, you are just wasting your precious time...
Pasco, umetoa uzi wako wa pongezi na pole bila kugusia mapungufu makubwa katika hizo chaguzi, ambayo yame determine kwa kiasi kikubwa sana hayo matokeo yaliyopatikana
KAKA KABLA HUJAPOST KITU HUMU UWE UNAJIRIDHISHA NA UHAKIKA WA TAARIFA YAKO,
..
POST INAYOSAMBAA WHATSUP KUHUSU SHULE KUMI ZA MWISHO NI FAKE,
HIYO LIST NI YA MWAKA JANA, NDIO AZANIA ILIKUWEPO KWENYE SHULE KUMI ZA MWISHO.
MATOKEO YALIYOTOKA LEO, YANAONYESHA SHULE KUMI ZA MWISHO NI KAMA IFUATAYO...
Katika kumbukumbu zangu... nakumbuka huyu Mh. alitoa ahadi ya kutaja majina ya Watanzania wakiwepo viongozi na watumishi mbalimbali wa uma wa sasa na wastaafu ambao wameficha fedha kwenye account mbali mbali huko nchini Uswiss..
Fedha ambazo nyingi zilikuwa kama reward za kuingia mikataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.