Hawa jamaa sijui mipango yao ipo vp,yan kutoka mb40 mpaka mb 8 na kutoka mb 8 mpaka mb 1,nahc serikali inataka kuwapunguza watu kutumia internet hasa katika kipindi hiki cha uchaguz then watarudi kulekule....btw nasikia Halotel wapo vizuri ile mbya,ni 3g kwa kwenda mbele.....nawasubiri
huna akili wewe,inaonyesha jinsi gani ulivyo mswahili,wewe unafikiri ujinga unaoufanya kuna mtu atakusifia?eti Popoma;popoma sio wewe usiye na akili ambaye mambo yako chizi vile.Wewe ni mtu mzima sasa haya mambo ya kipuuzi waachie watoto.Sibishani na wewe tena.
huyu mheshimiwa rangi tu inambeba lkn siyo beautiful onyinye kabisa.Waziri wa fedha mama Saada Mkuya kile ndio chuma(nisamehe mama yangu najua u-mtu mzima),nadhani hata watoto wake watakuwa moto wa kuotea mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.