Tusiogope kuelimishana, kila nafsi itaonja mauti. Lakini ni kwa wakati gani na ni kwa vipi ni muhimu sana. Kwa kila binadamu lazima azingatie mambo muhimu ya afya ili kupunguza maradhi yanayopelekea vifo vya haraka km watoto na vijana. Mambo mengine yapo ndani ya uwezo wetu, tufanye wajibu wetu...
Michepuko ni balaa, lakini ni kwa nini mwanamke akichepuka inaonekana ngumu kwa mme kusamehe na kusahau.
Wanaume wangapi wanachepuka na wake zao wanasamehe!!! Tena mnachepuka mpaka mnaleta watoto, na bado mke anakupokea. Ndiyo tunatofautiana, cha msingi Msamehe mkeo, mpende mkeo mwishi mlee...
Dawa ya dhambi ni kutubu, asingewapa askari uroda. Ukifanya mkataba na shetani atakutumikisha mpaka akuuwe. Pole sana, mwambie huyo dada afanye toba, afunguliwe minyororo ya dhambi.
Yaani Jipu unauzoefu sana na mambo haya... Ndiyo hivyo tena utafanyaje? Nawatakia heri na mafanikio mema wanandoa wote... Shindeni majaribu, kaa na mkeo na watoto na Mungu atawabariki na rizki yenu mtazidishiwa, Amen.
Kudos kwa wababa wote waliotulia na familia zao kwa kusherehekea sikukuu ya...
He he he eheeee, pole sana, bila huruma mkaibiwa tena! ama kweli safari moja huanzisha nyingine.
Kwa kweli sikupi pole, hata nikisema uliibiwa mara ya pili nitakose, hii uliamua kuchangia unga wa mganga...
UKRISTO ni UPENDO, AMANI, BUSARA NA HEKIMA, Tutaendelea kuwasamehe bure kwani hawajui wayatendaloo...,
Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu"
Nami niliamini kwa nidhamu hiyo, Mwislamu hawezi vunja MAKANISA NA KUHARIBU MALI ZA WASIO NA HATIA kwani...
Wacha mafisadi nao waibiwe, huyo jamaa aliyeiba mi na-mwona ana akili sana kwa sababu ameiba kwa walionazo kuliko kwenda kuwaibia walala hoi. Hima hima majambazi, msiumize walala hoi. Wafuateni mafisadi, mkifanikiwa mara moja tu kumwibia fisadi, unastaafu na huo ujambazi. Maana mkupuo mmoja tu...
Yote ni hasara kwa hali uliyonayo dada yangu. Usipoufuata bado mwenzako atakuletea. Sina ushauri zaidi wa kukupatia.
Dawa iliyowaponya wengi na kuwaongezea maisha ni hii. Kama mwenzako ameshindikana kabisaaa..., kapime, kama u salama basi mshukuru Mungu, ng' atuka na kaa pembeni enjoy life na YESU.
Mgongo asante kwa shairi, kuna haka kabeti kamesahaulika.. kaweke kwenye pale kable ya beti ya lmwisho
Wakazipanda shambani, mbegu nyingi mbalimbali,
Toka zile za mibuni, hata zitupazo wali,
Na mvua ikaja chini, wakaona na dalili,
Kama tunaka mali, tutazipata shambani.
Yaani wewe bado unaamini kondom ni kinga kweli??? how much does it cost? Do you think the cost of the condom reflects your value??? Mmmmhhh!!! why is condom so cheap??? Bado ni kitendawili!! Waliotengeneza wanatujali sana sisi??
Nami sina jibu.
Ushauri:
Usijihusishe na ngono kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.