You are not alone brother, so many people have gone through it ... Personally I've been there, I know how it feels kumpoteza mtu ambaye akili ilishajiandaa kuishi naye kwa miaka 30+ mbele. Lakini huwa nikiangalia maisha ya huyo ambaye angekua mke wangu huwa najifariji kwamba bora aliniacha tu.
mumewe akipita hapa utaleta zogo kwenye ndoa ya watu! Jifunze kuruhusu mambo yapite kuna wakati mwingine nyumba inapoungua unapaswa kumshukuru Maanani maana huwezi jua pengine nyumbani kwako kulikua makzi ya nyoka ambaye angekudhuru siku moja, hivyo kitendo cha nyumba kuungua kikakuepushia balaa!
IF WE MUST DIE - CLAUDE MCKAY
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even...
Kama wewe nawe ni Presida to Be basi TWAFWAAAA! Suppose mmoja wa wale wanajeshi au Police au Makonda mwenyewe angeteka studio za kurushia matangazo akatangaza lolote alilojisikia ambalo ni hatari kwa usalama wa nchi wewe ungesema haya unayoyasema leo? Mayor wa Antananarivo Madagascar aliwahi...
Naungana na wewe, na pia kitu kingine katika uandishi mwandishi anaposema '...something is based on....." ni generalization kwamba huo ndio msingi mkuu wa kitu husika. Mathalani unaposema '...division of labour in African societies was based on gender and age..." tafsiri ni kwamba huo ndio...
Hapa chini ni nukuu kutoka kwa Mtanzania anayesoma nchini Marekani ambavyo anauelezea mfumo wa Elimu nchini Tanzania. Naomba tuijadili objectively kwa kuangalia tafsiri ambayo mtu anaweza kuipata kwa kusoma matini (text) kama hii hapa.
"Tanzania education is based on corporal punishment, and...
Mimi ninafanya kazi kwenye eneo la viwanda vikubwa na bado tunakatiwa umeme zaidi ya siku nne kwa wiki....matokeo yake kila siku tunatumia karibu kila siku tunatumia lita kama 40 za dizeli kwa ajili ya jenereta kwenye majengo ya utawala, na katibu lita 150 kwa jenereta kwa ajili ya uzalishaji...
Wasanii wa mnapoalikwa kwenye shughuli za kisiasa, linapokuja suala la wimbo wa taifa na alama za kitaifa suala la siasa na usanii uwekwe pembeni. Kwa mfano jana msanii Single Mtambalike amechemka sana wakati wa zoezi la kufungua kampeni za CCM, kwani wakati watu wakiwa wametulia na kuimba wimbo...
Hapo kwenye bold/red...kumbuka kisa cha mpemba ya Banza Stone (R.I.P). Lakini pia kumpa hela ya mwezi mzima ni namna nzuri ya kupima uwezo wake wa kupanga bajeti na kuisimamia vizuri
Kwa mtazamo wangu hili ni suala mtambuka 'cross-cutting'
....Kuna makundi anuwai katika hili suala, kwa mfano, kuna wale waliokuwa ‘too selective' enzi zao wakiwa kwenye kilele cha ubora wao, wakisubiri nyama iliyopikwa iuzwe buchani badala ya kuinuua wakaiandae wenyewe, wakapitwa na...
Kwa mtazamo wangu hili ni suala mtambuka 'cross-cutting'
....Kuna makundi auwai katika hili suala, kuna wale waliokuwa too selective wakisubiri nyama iliyopikwa iuzwe buchani, wakapitwa na awamu phase wakiwa shule/vyuoni na hata siku za mwanzo wakiwa kwenye ajira. Baada ya kustuka umri...
Inawezekana hilo tangazo mwalisoma nje ya muktadha (out of context). Lakini ukweli ni kwamba Australia ni moja maeneo yanayokabiliwa na uhaba mkubwa wa maji kutokana na mahitaji kuzidi maji yaliyopo, na pia sehemu kubwa ya Australia ni kame kama ilivyo jimbo la California. Hivyo huo ujumbe...
kulikua na jkt mpaka mwaka 1993, ilizimwa mpka ilivyoamshwa miaka hii miwili iliyopita...jifahamisheni vizuri kabla ya kukimbilia kuhoji na kutoa hukumu!!!!!
Mkuu katika kuweka rekodi sawa PM wa mwisho wa Mwinyi Alikuwa Mzee Cleopa David Msuya na sio Malecela, na Malecela aliondolewa/alijiondoa kwa shinikizo la Mwalimu J.K. Nyerere mwak 1995!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.