Wakuu habarini za weekend!
Kuna hili tukio la watu kunyolewa nywele usiku huku usukumani simiyu, kiukweli ni kitu kinanishangaza sana hadi najiuliza huwa inakuaje binafsi nina ushahidi wa watu watatu waliofanyiwa hayo matukio,na kibaya zaidi ni hizo sehemu wanazonyolewa huwa hazioti nywele kwa...
Wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa 28yrs nimegundua nna tatizo la uume wangu kurudi ndani na kuwa kama wa mtoto, ili hali sina tatizo la nguvu za kiume,shida inaweza kuwa ni nini na tiba yake?
Natanguliza shukrani.
Ni mwaka sasa unaisha sina kitambulisho wala Namba ya Kitambulisho cha taifa suala linalo nikwamisha hata kupata kibarua cha kufanya,kazi ni kupigwa dana dana kila nnapofika ofisi za NIDA..Ni vizuri mkajitathimini!!
Wakuu salama?.
Nilikuwa nimekaa leo najiwazia ila sijapata majibu kuhusu hili swala, kama mnavyojua SIMBA SC ndio Mabingwa wa nchi msimu huu hivyo kulingana na kanuni zetu za TFF huyu tayari ndiyo mwakilishi wa Kombe la klabu bingwa Afrika msimu ujao.
Je ni vipi kama ikitokea Simba akamfunga...
Tokea jumamosi iliyopita mawasiliano ya simu kupitia mtandao wa vodacom ni hovyo kupita kiasi hivyo wahusika pamoja na kutoa offer ya dk30,SMS 100 na MB 50 Leo nichukue nafasi hii kuwataarifu bado hali haijatengemaa kabisa.
Wakuu naomba kuuliza mbona radio stations za hii kampuni ya Dr mengi hazipo kwenye radio lists kwenye king'amuzi cha Azam,mfano Radio one,Capital radio na EA radio.
Hivi huu ulimbukeni wa huyu mwanamziki sijui msanii wa bongo fleva kuposti picha ya noti ya Tsh 10000 ikiwa imechanwa vipandevipande kwenye mtandao wa kijamii ndio kuudhihirishia umma kwamba nchi hii pesa zake hazina uangalizi makini!?
A NEW 'super condom' which protects against HIV and offers more sexual pleasure than traditional condoms will soon be available, according to scientists.
Scientists from the Texas A&M University Health Science Center say the invention - dubbed the "new big player" in the fight against AIDS -...
Nimefurahishwa na kitendo cha utu aliouonyesha Rais wa JMT cha kuamuru fedha kiasi cha zaidi ya Tsh mil.225 zilizokuwa zimechangishwa na wahisani mbalimbali kwa ajili ya pongezi kwa wabunge na ufunguzi wa bunge LA 11 kupelekwa Hosp ya muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda,kiukweli jambo hili...
Wakuu nipo naangalia taarifa ya habari citizen tv ya kenya naona imeanza kwa mbwembwe za hatari coz fid yupo ndan ya mjengo na kachana ngoma ya cnn aliyoshirikishwa na marehemu ngwair...rip cowboy
Habarini za asubuhi wanajf,
samahani sana wakuu naomba kwa anayejua tarehe ya kuripoti jkt kwa form six leaver wa mwaka 2015 wale wa kwa mujibu wa sheria anisaidie,
pia na post zao za vikosi maana nna wadogo zangu wamemaliza form six wananisumbua kweli kwa sababu website ya jkt inasumbua sana...
Habari wanaJF,
Nipo nasikiliza Hot 96 radio ya Kenya namsikia DJ Mafuvu anagonga Bongo Hip Hop za hatari ndani ya kipindi cha Mistari,
Je ndio DJ Mafuvu kala shavu kwa mzee Kenyatta!?
Habari Wanajf.
Hivi inakuwaje nchi kama Tanzania ambao wananchi wake 75% wanaishi chini ya Dollar 2 kwa siku,eti unawahamasisha watume ujumbe wenye neno PENDA kwenda namba 155...ili kupata meseji za mahaba...
Ni aibu ndugu zangu, watu wa busega wanaumia kwa kulala nje sababu ya mafuriko huku...
Heri ya pasaka wanaJf,
Mwezi mmoja uliopita nilimpata mdada katika kupiga storiez nini,nikamtupia macho na yeye akawa ameitikia nikasema basi sawa ngoja twende ili tuone hatua yake maana mdada mrembo kama yule si rahisi akoswe mpenzi.
Basi wiki uliyopta kanipigia simu usiku wakati tunapiga...
Nilikuwa na mpenzi wangu miaka miwili iliyopita na tuliznguana na hatimaye kuachana kutokana na matatizombalimbali.
Ndugu wana Jamii forums kilichonileta leo humu ni ushauri wenu ili nijue cha kufanya,mnamo tarehe 26/06/2014 nilkutana na mpenzi wangu wa zamani kimwili kitu kilichompelekea yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.