Habari zenu wakuu,
Kama post inavyoeleza hapo juu. Nimepost hapa kutafuta watu ambao nitashirikiana nao kuendesha chuo changu. Chuo kimesajiliwa kipo kwenye mazingira mazuri sana.
Nimepost hapa kwasababu naamini wengi ni walimu na wana connection kubwa na wanafunzi ambayo tunaweza kuitumia...
Habari wakuu? Kijana mwenzenu Nina chuo kimesajiliwa na kipo kwenye mazingira mazuri mno. Nimekiendesha kwa miaka kadhaa sasa. Kwasasa nahitaji washirika wa kuleta wanafunzi kwa makubaliano maalum yenye manufaa kwa pande zote. Unaweza kuwa mwalimu au yeyote ambaye unaweza kufanya kazi hiyo. Chuo...
Habari wakuu. Kijana mwenzenu nimefungua chuo na nimekiendesha kwa miaka kadhaa sasa. Nahitaji washirika wa kusaidiana kupata wanafunzi kwa mkataba maalum wenye manufaa kwa pande zote. Chuo kipo arusha kina mazingira mazuri mno kimesajiliwa na kilakitu kipo sawa. Dm for more information
Habari wakuu,
Nimejikusanya nataka nijiajiri kwa kufungua chuo cha ufundi mkoani Arusha, nahitaji eneo kwa ajili ya hii project, kuna mawili nipate eneo la kupanga bei iwe rafiki au mtu mwenye majengo yake tuingie ubia. Pia kama mtu ana ushauri wowote napokea.
Shukran
Nitatoa story kwa ufupi ilivyokua, nilimkopea mtu pesa kwenye kikundi zaidi ya milioni kumi, baadae akakimbia na ndugu zake wakaahidi kulipa kwa kusema kuwa Mimi nilipe huko kikundini then wao watalipa ila tuwape muda. Nikajilipia lile deni na tukawapa mwaka mzima walipe. Mwaka ukakata siku ya...
Wakuu naombeni msaada wenu.
Kuna mtu nilimkopesha pesa akakwama kulipa. Akaja akaomba kuwa kakwama nikaita mashahidi akaomba mwaka mzima ndio awe amelipa hiyo hela na juzi baada ya mwaka kupita hajaleta hiyo hela.
Ushahidi wa maandishi na mashahidi wote wapo. Je, nikifungua kesi mahakamani...
Mama yangu ana uvimbe usio na maumivu kwenye ziwa lake.hospitali wanasema hormone imbalance. Jamani naogopa sana nisaidieni inaweza kuwa nini? Nipo arusha nataka nianze kumtibia nianze wapi?
Doctors msaada jamani nina makohozi yasiyoisha yaani nakereka hapa kooni nikiswaki lazima makohozi yatoke,samtymz inanibidi kufanya kama nakohoa au nagunaguna kupunguza kohozi kooni. Imekua hivi kwa miaka mitatu sasa. Ni kooni tu si kifuani. Msaada jamani inaweza kuwa ni nini? Tiba ni nini...
Jamani nataka kuanzisha kicentre naombeni mwenye vile viti vya darasani aniuzie kwa bei ya used hata vya kurepea nitanunua mimi nipo Arusha Kama kuna mtu alifunga shule yake anaweza kuniuzia pia. Thnx
habari zenu. Mwenzenu nimeamua kujiajiri kwa kufungua saluni ya kike. Nasuka na kushonea weaving mitindo yote. Pliz wadau wa arusha karibuni sana jamani mniunge mkono mwenzenu. Kwa mawasiliano niPm ntakutumia namba. Asanteni na karibuni sana.
Habari wadau,
Nimeweka hii thread huku kwasababu najua watu wengi wa media wanapita hapa.
Kifupi nina ideas za vipindi vipya vya tv sio vya kukopi nimebuni mwenyewe.
Tuwasiliane kwa ushauri au tufanye biashara.
Natanguliza shukrani.
Habari wakuu,
kutokana na ukosefu wa ajira nimeamua kutumia kipaji changu kufanya biashara. Nina kipaji cha kusuka nywele mitindo yote kwa kina dada. Ila nataka niifanye hii kazi rasmi na kisomi zaidi i mean nifungue kama kampuni ya urembo niajiri watu na me mwenyewe nikiwemo.
NACHOHITAJI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.