Habari zenu wakuu,
Kama post inavyoeleza hapo juu. Nimepost hapa kutafuta watu ambao nitashirikiana nao kuendesha chuo changu. Chuo kimesajiliwa kipo kwenye mazingira mazuri sana.
Nimepost hapa kwasababu naamini wengi ni walimu na wana connection kubwa na wanafunzi ambayo tunaweza kuitumia...
Unataka niwe transparent kwako wewe Kama Nani? Walengwa wameelewa na wamekuja dm wewe mjuzi mkuzaji anzisha biashara zako uzikuze. Kwahiyo unaona no sahihi kuweka jina la chuo eneo ambalo tunatumia fake Id kupost Sasa uprivate wangu humu jf upo wapi kaka mjuzi?
Habari wakuu? Kijana mwenzenu Nina chuo kimesajiliwa na kipo kwenye mazingira mazuri mno. Nimekiendesha kwa miaka kadhaa sasa. Kwasasa nahitaji washirika wa kuleta wanafunzi kwa makubaliano maalum yenye manufaa kwa pande zote. Unaweza kuwa mwalimu au yeyote ambaye unaweza kufanya kazi hiyo. Chuo...
Habari wakuu. Kijana mwenzenu nimefungua chuo na nimekiendesha kwa miaka kadhaa sasa. Nahitaji washirika wa kusaidiana kupata wanafunzi kwa mkataba maalum wenye manufaa kwa pande zote. Chuo kipo arusha kina mazingira mazuri mno kimesajiliwa na kilakitu kipo sawa. Dm for more information
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.