Hizi information ni More than Accurate.
Hakika utakuwa Afisa wa Pasipoti la sivyo basi wewe ni Kishoka Mbobezi japo kwa Sasa vishoka hawatakiwi.
Nami wakati nafuatilia yangu niliekezwa vivyo hivyo,
Nikafuata maelekezo kwa ufasaha, Wala siku stack pahala.
Ila suala la siku 7, hapo sina...
Umeingia Mjini ukiwa Premature/Njiti.
Ulitakiwa uendelee kuwepo kijijini bado hadi fikra zako zikomae,
Wewe ukaamua ku-force kuja mjini, subiria, hilo ni trailer, picha laja.
Kama bado una wasi wasi, rudi kwanza kijijini hadi pale utakapo komaa kuja kuishi mjini.
Huo ndio Ushauri wangu.
Muvi ambalo halina Dairekta lazima ligome njiani, kila kitu alifanya yeye mwenyewe, mwanzo mwisho, hakuna editor wala movie dairector ndio maana mwisho wa siku mambo yote yamekuwa hadharani, alishindwa kujua kuwa laini ya simu inasoma hadi IMEI na location yake!?
Kuutoa uhai wa mtu sio jambo...
Hallo,
Binafsi huwa napenda sana
Kuangalia hizi thriller movies, tena ukutane na wale madairekta wajuzi
Wa kucheza na scripts, kila tukio linafuata unatamani kujua nini kitachofuata huku ukiwa umeshikilia moyo wako usijedondoka kwa kihoro horo kwa namna picha ilivyo dairektiwa na kuleta...
Hata mm hii sms ya mm mwenye nyumba wako, ile kodi yangu itume kwenye hii namba,
Nikamjibu kuwa “Anakung’utwa na kufakamiwa na popobawa, kama kila mtu anaweza kuwa mpangaji wake”
Hii thread inataiwa ipestiwe kwenye magroup ya whatsapp ili watu ambao bado hawajajiunga, waweze kujua kile kinachoendelea huko mtaani.
Kwani binafsi nnakumbuka, kuwa nliambiwa nisiwaambie watu hadi pale ntakapo kuwa nshajiunga.
Kilicho niacha bumbuwazi, pale mmoja wa presenter aliponambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.