Alipo uawa Osama walikuwa nchi Gani?, America Hawa ondokagi na vifaa, huwa wana viacha.Kwao askari wao ndio wa maana, pili majeshi mengi hayatumii silaha za adui, Hili ni jeshi la ajabu
Hivyo ndivyo ilivyo, mahali wazazi ndio wanao panga, maana Binti akisema wanamwambia weka na ya mama na baba, hapa hakuna tofauti ila tofauti viwango tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.