Kwema . Nauliza ivi nina toyota Ist pale kwenye dashbord saa zile kilomita za gari namba zinakatik hazionekani zote nimebadili ile dashbord saa kuchukua ya Ist nyengine ambayo ni nzima hamna haijasaidi chochote nikaamua kuirudisha ile yakwangu je tatizo ni nn my no 0672622461
MSAADA JAMANI TOYOTA IST SPEED MITA INAGANDA GARI IKISHA TEMBEA UMBALI MREFU YANI UNAKUTA NIKIFIKA KWENYE VIBAO VYA SPEED 50 NIKIPUNGUZA UNAKUTA BADO INA SOMA SPEED 80 ILA GARI IKISHA POA INARUD KAWAIDA NIKITEMBEA TENA UMBALI MREFU TATIZ ILO ILO MATRAFIC WANAKULA SANA ELA YANGU Msaada wa...
Jamani wadau vp Kuhusu kaymu hapa bongo kwa kuuza vitu on line hawana usani wowote Na je ukinunua kitu kn line unaletewa kweli au magumashi tuuu mnajua tujuzane wakuuuu
Jamani wadau vp Kuhusu kaymu hapa bongo kwa kuuza vitu on line hawana usani wowote Na je ukinunua kitu kn line unaletewa kweli au magumashi tuuu mnajua tujuzane wakuuuu
Duuu mkuu usichoke kunisaidi mkuu sas ivi nikifungua cydia niki click pale kwenye more packeg source Ile bigboss haiji inafunguka kwenye ile image ya tatu kwahyo nakosa paku type ilo neno whatssap+ ila mwanza ilikuwa inatoke sasa tacjui nin Msaada wako tena
Kaka resert iyo phone yako irudi upya uanze mwanza kama ulivyonunu nafikir tatizo litaisha Kumbuka kutoa memory card na line yako wakat unaresert halafu urudishe feedbuck tuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.