Hakuna binadam aliye kamilika,,kwanza tuliza kichwa then usikilize moyo wako unataka nini,,,kwa upande wa pili,,.kila mwanamke ana matatizo yke,,mpe nafasi ya kujielezea itakueongezea jambo.!
yeah...huo ndio ukweli...
Labda tu nikazie kdg...kuna song ya ally/abdul kiba imeelezea vizuri...inaitwa kibela..."hii dunia $io mbaya walimwengu ndio wabaya..that true..!
NB:kama wewe si mwaminifu ba$i huwezi kuaminiwa..!
By $ina habar!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.