Wadau poleni namajukumu!
Baada ya salamu naomba kwa wenye kujua au kuwa na taarifa mnifahamishe.Je uchaguzi wa wenyeviti wa vitongoji,Serikali ya vijiji,Halmashauri ya vijiji umeshaanza?.Nauliza hivyo kwasababu nina taarifa za uhakika kuna sehemu umefanyika tangu jana na leo wamemalizia nafasi...
Rais Kikwete ayataka Mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa kutekeleza ahadi zake kwa wakati!
Sorce Tbcccm Taarifa ya saa mbili usiku
Swali nililojiuliza ni kwanini viongozi wetu wanashindwa kutumia resource zilizopo namatokeo yake wanashinda kupiga magoti nje? Na je yeye ahadi zake...
Baada ya CHADEMA kukamilisha uchaguzi wa viongozi wa mkoa wa Kigoma, Mheshimiwa Benson Kigaila ataunguruma kesho katika uwanja wa Community Center Mwanga majira ya saa 8:30mchana mpaka 12:30jioni akiwatambulisha viongozi wapya wa mkoa wa Kigoma nahasa kuwashukuru wazalendo wasioyumbishwa na...
Nduguzangu Watanzania wenzangu nimeamua nitoe malalamiko yangu hapa Jamvini kwa niabaya wanyonge wanaonyanyaswa na police wa Mkoa wa kigoma hasa Wilaya ya Kibondo.
Jamani police hawa wakiongozwa na OCD wao wamezidi kutubambikia kesi wakishirikiana na wenyevitiwa vijiji nawatendaji kwa...
Habari nilizozipata kutoka Hospital ya rufaa ya Mkoa wa kigoma( Maweni) watumishi wa Hospital hiyo wameanza mgomo leo hii kwa madai ya kushinikiza malipo yao ya call allowance ya kuanzia mwezi wa tano 2013 mpaka mwezi wa saba.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari hii kutoka ndani ya...
Hauwezi kuamini ila ndio ukweli ktk Tz ya leo miaka 50 unatoka wilaya 1ndani ya mkoa 1 km 260 kwa siku 2hadi3 tena kwa magari pekee 109 Landrover je hii ni haki?
Mengi yaliyosemwa nawakubwa au yaliyowekwa kwenye mitandao hatutayasahau!.Mwenyekiti wa kamati teule ya Bunge iliyochunguza Richmond Dr H.Mwakyembe alisema kama kamati ingeamua kuwekawazi yote waliyobaini Serikali nzima ingeanguka alimaanisha nini?. Na yaliyowekwa kwenye mtandao wa Wikileaks ya...
Wakati watanzania tukisubiri neema tuliyoahidiwa na chama kinachoongoza dola tangu 2005 mpakasasa ambavyo kimsingi bado mwaka mmoja kianze kuomba ridhaa kwa wananchi tena ili kiingie madarakani.
Sasa ni dhahili neema hizo zimeota mbawa!.Wakati mikoani mpaka wilayani wakingoja ahadi lukuki...
Habari tulizozipata kutoka ndani ya Ccm mkoa kigoma zinasema kwamba ule mpango uliokuwa ufanyike mkoani Iringa wa wakuwapa kadi za Chadema wanachama wa Ccm ili wazitoe kwenye mkutano wa Ccm umehamishiwa mkoani Kigoma katika kuadhimisha sherehe za kuzaliwa kwa chama hicho.Mpango huo umeandaliwa...
Hivi majuzi Sekretarieti ya CCM wakiwahutubia wanachama wao waliokwenda kuwapokea na mara tu ya kuwasiri mkoani Kigoma tokea Dar es Salaam,katibu wa itikadi na uenezi wa CCM bwana Nape na katibu mkuu wa Chama hicho bwana A.Kinana waliwambia wanachama wao na wananchi kwamba wamekuja Kigoma kwa...
Nawasalimia wadau wote wa JF.Mimi nimdau mpya wa jamvi hili nikiwa Kigoma huku tulipovamiwa na majangiri na mafisadi.Naomba ushirikiano wenu ktk kufanikisha kupeana habari zenye tija kwa taifa hili la watanzania tuliokata tamaa!.Naomba kuwasilisha
Nawasalimia wadau wote wa JF.Mimi nimdau mpya wa jamvi hili nikiwa Kigoma huku tulipovamiwa na majangiri na mafisadi.Naomba ushirikiano wenu ktk kufanikisha kupeana habari zenye tija kwa taifa hili la watanzania tuliokata tamaa!.Naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.