Oy, School Ina Maghorofa Ya ukweli2 kama usha fika tarime sec au mwenge ndo style ya kihivyo. school iko karibu na bwawa xo ma breezing yapo ya kutosha. kuhusu religious aspects. school haijabana. wanao ena kusali nifresh mno wengine wanakataga sikunzima hawapo school j2 na j1...
Kuna Lihed Master linano itwa mr.kahema. daaaaah peaceful sana. * lakini kumbuka mwaka jana mwanafunz alidanja kwasababu ya miundombinu mibovu ya vyoo. ***( inshortly)**** daaa ilikua ndo form six wa PCM wamebakiza mtihan mmoja. mchiz kapiga pindi la kutosha, majira ya saa 10/11 arfajiri...
]hongera kwa kuchaguliwa special school, nimemaliza hapo o level advance nkaenda taboraboys
****wow, Nawe pia hongera, now uko cha ngapi au ndo unaingia mwaka huu?*****
ondoa shaka, mbona mateacher wao kwaajili yako. sema2 kama hujasoma inamanisha ukifika school kwenye prepo utakua unasinzia2 kwa maana huna cha kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.