Nataka kuifanya gari yangu IST kuwa ya biashara ya UBER ilikuwa ni 'Private' lakini sasa nimeshaibadili, kila kitu kuwa 'Commercial'
So kitu ambacho sijui ni namna ya kujiunga na hii huduma ya Uber.
Msaada wenu tafadhari wa maelekezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba KUJUA AU KUPATA USHAURI MZURI ,NI MACHINE IPI NZURI KWAAJIRI YA KUFANYIA MAUZO YA LUKU,NA HUDUMA ZA VING'AMUZI?
Tafadhari mwenye uelewa tupeane ushauri.
Nahitaji kiwanja mkoa wambeya maeneo ya Uyole, kiwe na hati miliki, na kiwe kikubwa pia.huduma zote za kijamii ziwe zinapatika,
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.