We muabudu masanamu unadhani ukienda hospitali ama shule ya inayomilikiwa na kanisa lako lakuabudu masanamu utapewa huduma bure kisa muabudu sanamu mwenzao?
Mimi ni mkatoliki pure mzee. Unaenda unainama mbele ya lisanmu nakuanza kutaja shida zako na sala zako mbele yanlisnamu la kununua halafu useme hiyo sio ibada?
Limsalaba la mpingo linatembezwa barabarani na huku tunaimba na kusifu hiyo sio ibad?
Bro uskatae ukwli ulio wazi.
Sisi wakatoliki ibada bila sanamu haijkamilika.
Huwa tunaenda kubusu sanamu la msalaba
Huwa tunakwenda kwenye masanmu yaliyoko maknisni na kupiga mgoti mbele yao na kufanya ibada za kutaka masanamu hayo yatuombee.
Pale sait Joseph lipo sanamu la bikira malia...
Wewe wataka ugomvi na wakatoliki.
Kanisa katoliki masanamu kama yoote yaani.
1 Sanamu la Yese
2 . Sanamu la bikira maria
3 Sanamu la Yosefu
4. Masannu ya malaika
5. Na masanamu mengine sijui ni akina nani wale
Hongera sana na ahsanteni statimes.
Mmenitendea haki sana leo.
1. Jana nilifanya malipo ya kifurushi cha 21000 bahati mbaya nikakosea tarakimu ya mwisho ya smatcard. Kwa vile nililipia kwa nmb mobile niliona ujumbe wa nmb mobile kuwa nimelipia kifurushi cha ststimes ila bado chanels...
Mara nyingi wanaoazima magari hawachukuagi tahadhari sana kama mwenye gari.
Ukishamuazima ye nikutoka nalo nduki tu. Hana muda wa kuangalia dashbord wala kusikiliza milio mingine wakati gari ikitembea
Pole mkuu.
Ni kama nayaona maumivu yako. Shukuru tu gari zote zinatengenezeka na abiria mko salama. Ajali ipo tu hata kama gari lingekuwa la wako japo maumivu ya kugongesha gari lako hayafikii maumivu ya kugongesha gari ya kuazia.
Binafsi huwa nakosa amani sana mtu kuniazima gari na mie sipendi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.