CCM NA SIZITAKI MBIVU HIZI.
Hivi karibuni vyombo vya habari hasa magazeti vimekuwa vikiripoti juu ya mchakato wa uchaguzi mdogo wa Igunga.Binafsi nimevutiwa na mkakati wa CCM kumtumia Raisi mstaafu Benjamini Mkapa pamoja na Mh Rostam Aziz Mbunge wa Igunga aliyejiuzulu.Nianze na hili la...
KWA MUKTADHA HUU WA MADENI NCHI HAITAENDELEA.
Mdhibiti na Mkaguzi wa Heasabu za Serikali (CAG),Ludovick Utouh amesema katika ripoti yake ya mwaka wa fedha wa 2009/2010 kuwa deni la taifa katika kipindi hicho liliongezeka kwa asilimia 38 kutoka shilingi 7.6 bilioni hadi 10.5 trilioni.Hizi...
Kwanza nikupongeze kwa kutaka kufungua tawi la chama chako nje ya nchi ni haki yako katika kukijenga
chama,lakini ujenzi wa chama unaanzia nyumbani je huku ushafungua mangapi?.Mbili huu msamiati
mlioanzisha wa kujivua gamba nadhani mmechelewa gamba lilitakiwa litoke siku nyingi na kama dhana...
huyu askofu nadhani ni mmoja kati ya watu wanaofaidika na ufisadi nchini.Chadema na Dr Slaa wamekuwa maarufu
kabla hata ya kuwataja hao mafisadi.Amekuwa bungeni miaka 15 bado umaarufu alikuwa nao,na hao hao
aliowataja pale mwembeyanga wengine tayari wako mahakamani.Suala la huyo askofu kusema...
Siku ya jana nilishtuka sana nilipokuwa nikimsikiliza katibu wa bunge Ndugu Thomas Kashilila katika moja ya vipindi vya taarifa ya habari ya Star tv.Huyu bwana alizungumzia mambo mawili makubwa moja likiwa ni zomea zomea bungeni na suala zima la katiba mpya.
Katika zomea zomea katibu huyo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.