Search results

  1. M

    Msikilize Mmsaai Akibembeleza

    Hii kitu noma ata kama mama nanii amechukia lazima akubali tuu
  2. M

    Ghana Beats Brazil To Win U20 Worldcup!!!

    Kombe la wakubwa nawapa Ghana na Ivory coast nafasi ya kufanya vizuri ata kama hawata chukua kombe, kuna uwezekano m2 kuingia semi-final 2010. Hongera Ghana.
  3. M

    Ghana Beats Brazil To Win U20 Worldcup!!!

    Ngoja tusubili 2010 lazima Africa tufanye maajabu.
  4. M

    Ghana Beats Brazil To Win U20 Worldcup!!!

    Ghana mabingwa. Hongera sana Ghana
  5. M

    Siasa za Mbeya 2005-2010

    Jifunze kuandika kwanza ndio uje hapa
  6. M

    Elections 2010 Ni Kweli Richard Madete unagombea Ubunge 2010?

    Kwanini na wewe usiende kugombea au unataka kula pesa za tanroad 2.
  7. M

    Nataka!!!

    Kunisea mkuu?hayo matusi sasa.
  8. M

    Nataka!!!

    Ngugu ndio nini?
  9. M

    Ligi ya Uingereza: Tanzania mambo huwa hivi

    naona mmiliki ameweka tangazzo kwa wapenda vya bure.
  10. M

    Picha za watoto wakiwa swimming pool

    Ila swla la mazoezi nyumbani naona watu wanaona halina umuhimu sana, mastar kibao 2 nawaona wana vitambi kishenzi; wazazi inabidi waonyeshe mifano kwa watoto wao coz mtoto akiwaona wazazi hawana mda wa mazoezi na yeye halichukulii maanani.
  11. M

    Picha za watoto wakiwa swimming pool

    Du watoto inabidi wawe wanafanya mazoezi, vitambi si mchezo.
  12. M

    Special thread: CAF Confederation Cup

    Mechi ya prison mkuu inapigiwa wapi? Asante kwa kutujulisha.
  13. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Leo naona ni iliku siku ya arsenal. Full time Arsenal 3 hull 1
  14. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal naona leo kaamua anapiga la tatu sasa.
  15. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    van Persie kafunga
  16. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal wamemchapa mtu tayari
  17. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hao wamekimbia
  18. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yah arsenal wamefanya kweli mpira umeisha 2-1
  19. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Du mkuu leo naona tunacheka 2.
  20. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    chelsea wanaongoza kwa moja
Back
Top Bottom