Kombe la wakubwa nawapa Ghana na Ivory coast nafasi ya kufanya vizuri ata kama hawata chukua kombe, kuna uwezekano m2 kuingia semi-final 2010. Hongera Ghana.
Ila swla la mazoezi nyumbani naona watu wanaona halina umuhimu sana, mastar kibao 2 nawaona wana vitambi kishenzi; wazazi inabidi waonyeshe mifano kwa watoto wao coz mtoto akiwaona wazazi hawana mda wa mazoezi na yeye halichukulii maanani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.