Kuna vijana wa hovyo wamenishawishi sana nijiunge na hii kitu inaitwa twiga Soft. Nguvu wanayo tumia nikubwa mnoo. Hebu wadau waelevu nipeni nondo za hii kitu.
Link hii..https://twigasoftagency.com/register?ref
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Sijawahi kununua mwanamke anayejiuza. Ila huyu mke wangu ni anajiuza kwangu. Kivipi?
Manjonjo na ushirikiano kitandani anautoa kwangu tarehe za mshahara tu. Yaani kuanzia tarehee 21 hadi 23 kila Mwezi, asikuambie mtu na enjoy vibaya mno utadhani tumejuana leo. Lakini akiona naanza kuacha 5000...
Kila kichwa kinachopitia chuo lazima kilipie ada ya TCU. Sasa ninachojiuliza mbona sijasikia hata siku moja TCU wamejenga hata chuo cha wanafunzi wenye mahitaji maalumu ?
Hii mkwanja yote huwa inaenda wapi?
2.4 TCU Quality Assurance Fee
20,000.00
20,000.00
Jukumu la kupunguza uhalifu na wahalifu ni jukumu la jamii nzima. Mkuu wa Jeshi la polisi aliye maliza muda wake CPF (CHIEF OF POLISI FORCE) marufu kama IGP (INSP GERAL OF POLICE), SIMON NYANKORO SIRRO, ALIPELEKA WAKAGUZI WA SAIDIZI WA POLISI kwa kila kata katika kata zote nchini Tanzania. Ili...
Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? Tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!
Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafiki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi...
Nimezunguka karibia mikoa yote Tanzania. Kila nilipo pita na kuweka makazi ya muda.
Nilikuwa nakuta na hawa watu wanene maarufu kama VIBONGE (wingi) na Bonge (umoja) (siyo rasimi, onesigara ata fafanua hapo.)
Sasa hawa Vibonge binafsi wananikera sana, yaani wote ME na KE, wanatabia zinazo...
Week mbili sasa maji yamefunguliwa siku moja tu, alipo pita waziri mkuu.
MWAUWASA wameshindwa kabisaa kusimamia ufunguliaji wa maji eneo hili.
Ukiuliza unambiwa Kalokola ndo anae simamia eneo hili, Kalokola kumpigia simu anakuambia mpigie injinia, wa mkoa, injinia anakuambia hajapata taarifa za...
Waziri mwenye mamlaka popote ulipo.
Kata ya Kishiri wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza ,tumekosa maji safi na salama kwenye familia zetu kwa muda wa week mbili sasa.
Hapo katikati Mheshimiwa ulikuja kama siku tatu, waka achia maji ulivyo ondoka ukaondoka nao.
Tuki piga simu MWAUWASA wanasema...
Baada ya posti yangu juzi kuhusu BARABARA hii, hatimaye Jana imekwanguliwa na kusawazishwa Yale makorongo.
Heko kwa wateule wa Rais wetu mpendwa.
Sasa ..
Mh Rais wetu mpendwa ikikupendeza kipande hicho Cha BARABARA kijengwe kwa kiwango Cha Moramu
Kwako Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Meya na Naibu Meya wa Jiji la Mwanza, Mkurugenzi TARURA mpaka mamla husika hapa jijini Mwanza.
Kwako Rais wetu mpendwa Dr. John Magufuli. Rais wangu kipenzi cha Watanzania watajwa hapo juu wameifumbia macho BARABARA ya IGOMA Kishiri, ambacho ni kipande kidogo...
Habari wana jamvi. Hello mr right ni kakipindi fulani kanako endeshwa pale kenya na RAMBO TV, kakizaminiwa na startimes.
Kipindi chao kina husisha single boys &single ladies. Nimeshindwa kuelewa maudhui ya ke, je nisuruhisho kwa madomo zege ama la? Mbona hakuna mresho wa wale wanao patana mr...
Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie.
Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha anaumizwa.
Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua...
Mchekie na mwenzako.
Mimi enzi hizo nilipata batch ya 6
Yaani draft ya sita tena100%
Chamsingi tu ni nidhamu ya boom ajira bado sana mpaka watumishi tuongezwe mishahara siyo kesho wala kesho kutwa yake
Nilicho kutana nacho kwa haka kamanzi,toka nikue sijawahi ona. Tulikutana kwenye daladala baada ya kubadilishana namba za simu na kupanga makutano. Lodge sasa, Romance,romance kila niki gusa papuch ,fingering kana cheka vibaya tena kwa saut mpaka kanatoa machozi,nikiacha kuzea k ,kana nyamaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.