Naombeni msaada wa kitaalamu wa kupalilia mahindi kwa kutumia viuatilifu maana vibarua wanasumbua na wakati mwingine mvua inanyesha mara kwa mara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasheria naombeni msaada je mgambo aliyepewa kulinda mtuhumiwa lock up na baadaye mkute hakuna mtuhumiwa na hakujavunjwa na funguo zote anazo,.Mgambo huyo akipelekwa mahakamani anastahili adhabu gani kwa mujibu wa sheria?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.