Search results

  1. Natty Bongoman

    Papa ni Rais wa nchi ya Vatican na pia ni kiongozi wa Kanisa la Katoliki duniani. Dini na Serikali vimechanganyikana

    Habari zengu wenzangu wanaJF. Kwa staili tumekuwa tunazugwa kuhusu ukraine ni cha mtoto kulinganisha na hili nnalowaletea wenzangu. Nivumilieni mapicha mengi ila nataka mtambue picha halisia - na wenye hisia wapingane na ushahidi. Naomba sote tuzingatie na tukumbuke kwamba warumi...
  2. Natty Bongoman

    Jinsi ya kusoma ukurasa wa mtandao bila matangazo ya biashara

    Habari wanaJF. Siku hizi matangazo ya biashara kwenye kurasa nyingi za mitandaoni yamezidi - hadi kufunika ulichofungua kurasa kusoma. Matangazo mengine yanafunguka katikati ya shughuli. Iko njia ya kusoma hizi kurasa bila bugudha kwa kutumia mfumo wa browser READER'S MODE. Browser ni...
  3. Natty Bongoman

    Taarifa za uongo ni silaha kubwa ya Mzungu tangu enzi

    WENGI wetu hata humu jukwaani wanameza kirahisi sana taarifa za habari za uongo na elimu za uongo, espesheli, historia. Ili mradi zimeletwa na mzungu... afu Cha kusikitisha, ndo wanakuwa wabishi wakubwa. Historia za uongo wa mzungu tunazijua sana sana, ila sielewi kwa nini kila kukicha akatoa...
  4. Natty Bongoman

    Wajiolojia wanatuambia mbeleni Tanzania itakuwa kisiwani

    Habari wanaJF. Majuzi wenzetu Kenya walikumbwa na janga pichani hapo chini. mjadala wa hili tukio wajiolojia wanatuambia ni ishara ya mgawanyiko utakaotokea mbeleni. Ukiangalia ramani, wanatuambia bonde la ufa ni kama mipaka ya mapande mawili ya ardhi yanayoonyesha kusogea, kila pande...
  5. Natty Bongoman

    Nchi zenye vinu vya nyuklia na silaha za nyuklia humu duniani

    NCHI ZENYE VINU VYA NYUKLIA (angalia Ukraine) NCHI ZENYE VINU VYA NYUKLIA NCHI ZENYE SILAHA ZA NYUKLIA Yaani nahisi ajali ya nyuklia ni tishio zaidi ya vita vya nyuklia
  6. Natty Bongoman

    Ushenzi wa vikwazo wanaoumia ni wananchi

    Vikwazo vya kiuchumi na kufungia pesa imekuwa ni silaha ambayo imetumiwa mara kadhaa na mmarekani na wenzake. Hii silaha ilianza miaka ya 1950 hivi na Korea kaskazini. Wakaja Iraq, Iran, Venezuela…hata Zimbabwe wamo. Nchi wenza wa mmarekani hazijawahi kuwekewa vikwazo hata zikitenda madhambi...
  7. Natty Bongoman

    Vita vya Ukraine; Wasichotuambia wazi

    waUkraine na waRus wameishi pamoja kwa amani hadi mshinikizo wa mmarekani na wenzake wa ulaya magharibi - wakaanza kubeza na kuwaonea waRus tokea 2014 kiukatili sana... waUkraine (viongozi) na washinikizaji hadi wakaruhusu kundi la NATIONALIST (wabaguzi wenye itikadi za hitler) kuchochea...
  8. Natty Bongoman

    Mtu mweusi leo kujitambua na kutambua historia yake halisi na ya ukweli ni kazi ya ziada

    Habari zenu wanaJF wenzangu. Kiujumla watu weusi tumeishi 'gizani' kwa karne nyingi. Tumeishi katika mifumo kadhaa iliyolenga kutupeleka huko 'gizani' na kutubakisha huko. Mifumo hii imepitia marekebisho ya kila aina - tokea mifumo ya kutumia nguvu hadi leo kutumia mifumo ya kutufumba macho na...
  9. Natty Bongoman

    Nafaka nyingine tunazokula zina sumu kuvu... news article

    mazao hayo ni hatari hasa kama hayatahifadhiwa vizuri Utafiti: Karanga, mahindi husababisha saratani - Siasa KARANGA na mahindi vinaweza kusababisha saratani ya ini kama havitahifadhiwa vizuri, utafiti umeeleza. Utafiti huo uliofanywa na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA)...
  10. Natty Bongoman

    Happy mamaz day. Much respect

    BIG RASPEKT TO ALL MAMAZ, ESP. THE AFRIKAN MAMA WHOSE MAJORITY OF WORK IS TOUGH AND YET SHE LOVINGLY CARE AND CARE AND CARE… MUCH LUV * Wimbo kwa ajili yenu (bonyeza kitufe play apo chini) SIZZLA – THANK YOU MAMA http://k003.kiwi6.com/hotlink/n6eglfr8hu/Sizzla_-_Thank_You_Mama_Fxd.mp3
  11. Natty Bongoman

    Maria darasani - sunday skul

    Maria hakuwa mwanafunzi bora darasani Sunday school. Kawaida yake, husinzia darasani. Jumapili moja, mtawa mwalimu aliamua kumuuliza Maria maswali, bila kutambua Maria keshasinzia. Swali la kwanza, “Maria, ni nani alieumba ulimwengu?” Joji chizi aliyeketi nyuma ya Maria alikuwa na sindano...
  12. Natty Bongoman

    binti wa Ireland - karudi nyumbani

    An Irish daughter had not been home for over 5 years. Upon her return, her father cursed her. Where have ye been all this time? Why did ye not write to us, not even a line? Why didn't ye call? Can ye not understand what ye put yer old mum thru? The girl, crying, replied, "Sniff...
  13. Natty Bongoman

    Elections 2010 DOUBLE DIPPING VOTING ...en form ~ ufisadi kurani... but dimokrasi ilikua, asilimia

    Double Dipping Votes Delays Tanzania Election Results Jakaya Kikwete checks off one more tally as officials arrest Daudi Gindishi for double voting Jen Hoskote | Tue Nov 2, 2010 TAGS: Chadema Party, Civic United Front, Daudi Gindishi, President Jakaya Kikwete, Tanzania Election Results...
  14. Natty Bongoman

    Elections 2010 NEWS: Looks JK atashinda... little capsule on his successes and failures 1st term

    Tanzanian Election Closes, Likely to Hand President Kikwete Second Term By Sarah McGregor and Wilfred Mwakalosi - Oct 31, 2010 10:07 AM ET Tanzanians held a peaceful election that will probably hand President Jakaya Kikwete a second and final five-year term to implement policies aimed at...
  15. Natty Bongoman

    Prince Charles Wedding Night

    Camilla bought a new pair of shoes for her wedding which got increasingly tighter & tighter as the day went on. That night after the festivities were finally over, she & Charles had retired back to their room. Camilla flopped on the bed and said “Please remove my shoes darling. One’s feet are...
  16. Natty Bongoman

    Mke aliefiwa na mume...

    Anna had lost her husband almost four years ago. Her daughter was constantly calling her and urging her to get back into the world. Finally, Anna said she’d go out, but didn’t know anyone. Her daughter immediately replied, “Mum! I have someone for you to meet.” Well, it was an immediate hit...
  17. Natty Bongoman

    Bibi mahakamani...

    In a trial, a Southern small-town prosecuting attorney called his first witness, a grandmotherly, elderly woman to the stand. He approached her and asked, ‘Mrs. Jones, do you know me?’ She responded, ‘Why, yes, I do know you, Mr. Williams. I’ve known you since you were a boy, and frankly, you’ve...
  18. Natty Bongoman

    BBC ~ Ten things we have learnt about Africa

    The Pew Research Center has just released one of the biggest ever studies on attitudes to religion and morality in Africa, which has revealed a host of interesting facts. Here are 10 things we have learnt from the study, which surveyed 25,000 people in 19 countries. 1. 75% of South Africans...
  19. Natty Bongoman

    Sirikali ... Tanzania: Mineral Revenue Secrecy Fails Dar es Salaam in Global Ranking

    The Citizen (Dar es Salaam) Tanzania: Mineral Revenue Secrecy Fails Dar es Salaam in Global Ranking Alvar Mwakyusa 19 October 2010 Tanzania has scored poorly in an international survey on mining revenue transparency. The Revenue Watch Index 2010 places Tanzania 37th among 41 countries...
Back
Top Bottom