Asante, lakini hii sio gym ya kufanya mazoezi. Nazungumzia gymnasium sijui kiswahili chake, ila utakuwa umeona mashindano ya Olympics wanakuwaga na section ya gymnasium, wanaruka kubinuka etc. Nipo Dsm
Habari za mchana na poleni na majukumu.
Jamani humu ndani kama kuna mtu anafahamu mwalimu wa gymnasium au mahali nawezapata info zitakozoniwezesha kupata uyo mwalimu naomba nisadie, pia unawezanitumia kama ni number ya sim kwa PM.
Asanteni sana
Tafuta namna ya kuprocess mwenyewe, kama kutengeneza unga wa juice. Unga wa uji nk. Ubuyu una vitamin C nyingi na ivyo ni nzuri kwa afya. Siku hizi watu wanapenda natural food ila bahati mbaya hapa Tz sijaona maduka yanayouza vyakula vya asili. Hii inawezakuwa biashara nzuri pia.
Naomba kupishana na wewe kidogo. Mfano it is a common knowledge kwa sasa maeneo ya mwelekeo wa bagamoyo na karibu na beach ni hot cake. So kama unaweza nunua shamba maeneo ya bagamoyo kwa sasa, trust me lazima itakuja kukulipa tu. Kitu kingine angalia kama maeneo yaliyo karibu na hapo yamepimwa...
Kwenye real estate mimi huwa nasema Location ya nyumba yako ndio kila kitu. Kuna ndugu amejenga very nice modern family house in Chanika anapata shida kupata mpangaji wa kumpa 150,000 kwa mwezi. Lakini ndugu mwingine kajenga nyumba kama iyo tegeta masite anakula 600,000 kwa mwezi. Yaani nyumba...
Kuna mmoja alikuwa anarudi nyumbani na Manundu, wazazi wanashangaa. Kumbe mtoto anasinzia kwenye gari matokeo yake anajigonga kwenye machuma ya gari.
Inasikitisha sana.
Obviously wametushinda kwenye utawala wa sheria tuanzie hapo. Watu wamepiga kura na zinaheshimiwa. Fyi Zambia nimetembea pande zote kasoro Eastern province. Infrastructure zimesimama, mpangilio wa makazi uko mwake, kilimo wana practice mainly cha kisasa, chakula cha kutosha, nilienda dukani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.