Wanawake ni wabinafsi sana sijawah kuona unatak mwenzako aache stareh alaf ili akuhudumie wew akupe el za nguo mavazi na chakula nzur upate za kueka insta sio hivy acha mwenzio nae afurahie kazi ya jasho lake swala la kukusaidia wew lipo na options haijandikwa kuwa ni sheria akikuoa ndo lazma...
Pork choma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alaf kun gest buku 20 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi ulinimotivate sana nikasem hapan lzm nifanye kit b4 wa sita mung ni mwema niko kwangu peace of mind ipo japo kuna ile uoga flan nitasastain vip nikikosa je ila naamin mungu hataniacha
Mama sio wew kuna mama juz kati apa katoa mabint zake wawil mimba na michezo hiyo hivyo hivyo nikwambie shit is real na kama mzazi kuwa cruel kama unatak future ya watoto wako kama utak waache wazae wawe mabar maid [emoji1787][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] mwenye nacho hasem [emoji1787][emoji1787]tukule tu mitaro hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahali venye maisha imetufikisha huna hela huna kaz unaangaika usiku mchana kutafuta kodi siku unapewa upunguze genye unafikir utakuwa na nguz mby zaid ukute mtu anaelewa ila hizi kungur watakutangazi joogooo hawiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.