CHAKUFANYA NENDA MADUKA YA DAWA ZA PEMBEJEO ULIZIA DAWA INAITWA AKHERI POWDER HALAFU UNYUNYUZIE KWENYE PEMBE ZOTE ZA CHUMBA, HAKIKISHA HAUWEKI MABAKI YA VYAKULA NDANI MAANA YENYEWE YANASASABABISHA UWEPO WA MENDE. Halafu usisasahau dawa ya mende ile kama chaki uchore kwenye njia zao inasaidia...
umenikumbusha jambo, mama akienda safari mm na kaka yangu tunakaa mlangoni na kuimba mama njoo, mama njoo,mama rudi tukiamini huko alipo anakuwa anatusikia na kurudi hme fasta, muda mwingine ilikuwa inafanya kazi ati.
huyo binti anajidanganya kuharibu utu wake! Akae chini aangalie wapi aliteleza ajirekebishe! hta hku ofisini kwetu kuna jamaa anatembea na x- wa mfanyakazi mwenzetu bila kificho kwa maelezo ya binti anadai kuwa anamkomesha mzaz mwenziye! Upuuzi na uchafu mtupu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.