jaman mimi npo first year civil eng chuo flan hapa tz sasa nilikuwa nauliza hivi inawezekana kuongeza mkopo wako kwa kuomba tena maana naona huu wa sasa haunitoshelez mahitaj yangu
habari wakuu mimi n kijana wa miaka 22 kwa sasa ,nmefanya sex nikiwa na miaka 21 kwa mara ya kwanza but hyo siku nilisex kwa dk kama 5 hiv then uume ukasinyaa sasa nashindwa kuelewa ni nin hii and ckuendelea baada ya apo ...msaada wenu wakuu coz nakua nahamu but uume umelalla sasa dawa yake nin??
habari wakuu mimi n kijana mwenye miaka 21 nipo chuo na uzito wa 50kg thn nqa uref wa 5.4 nashindwa kuelewa kwa nini uzito wang ni mdogo kiasi hicho wakati nakula vizur bila ya hata kupitisha mlo na huwa hata siumwi mara kwa mara zaid ya mafua ya kuja na kupotea kila m2 huwa ananiambia cku...
naomben mnsaidie hiki kitu kwa wazoefu ,,mimi mwaka jana niliomba mkopo kupitia heslb nkafanikiwa kupata ila ni kidogo sana na nmesoma pcm nmesoma private o levo na advce sasa nlikuwa nahtaji ushaur kma itawezekana kuomba tena ili npate zaidi ya ule wa mwanzo nasoma civil eng frst year
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.