Aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,Edward Lowassa amesema rushwa nchini ni kansa inayoitafuna nchi,amesema hayo mchana huu akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya DW, Pamoja na hayo amesisitiza kuwa hana kundi ndani ya CCM.
Mahojiano;
Haya ni dondoo za mahojiana ya Lowassa na mtangazaji wa DW...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.