Nisaidien jaman, jinsi ya mpangilio maalum wa kutuma barua za maombi,je unaanza vyeti au barua, au CV pale mbele katka kuvibana? na kama unaanza na vyeti.
Je unaanzia cha chuo, juu au cha la saba ndio kinakaa juu?
Msaada kwa wataalamu wa mambo haya
Jaman naomba nieleweshe kuhusu nafasi za kazi za uhamiaji nafas ya koplo wanataka form 6 waliofaulu,sasa wanapatikana vp hao waliofaulu maana ninavyojua mimi waliofaulu wote wamejiunga na vyuo mbalimbali,au ni mbinu tu za kupunguza watu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.