Ndugu yangu Kichwa cha Nazi... Hongera Sana kwa kuleta huu uzi hapa jamvini kiukweli hawa Chadema hapa Rombo wameshikwa pabaya ndiyo maana wanatafuta mtu wa kwenda naye kaburini.....
Hali yako ni mbaya sanaaaa
Kichwa cha Nazi yaani maneno na hoja zako ni sawa na Msumari wa inchi 6 katika utosi wa CCM..
Hatariiii Sana CCM inatwangwa kotekote....
Mbele nyuma kushoto na kulia..
Ni aibu mrembo kama JS kutumika kama condomu
Shikamoo Hayati Dr.Sengondo Mvungi !, Mungu Akupumzishe Mahali Pema Na Patakatifu Mbingini Amina. Huko Uliko Twakuomba Uwasamehe Wauaji Wako Ambao Hawakupenda Mawazo Yetu Mliyoyakusa Yatumike Kuandaa Katiba Mpaka Wakachukua Uamuzi Wa Kukua, DAIMA TUTASIMAMIA FALISAFA NA MISIMAMO YAKO SI...
Maisha Bora Ni Ufisadi Na Ujangili Wa Mali Za Umma Uliofanya Na Makada Na Viongozi Wa MaCCM Through EPA, Escrow And Richmond Scandals. Pesa Hizi Zimefichwa Huko Ulaya Na Ma.CCM, Zingine Hutumika Kuwahonga Wapiga Kura Ili Waichague CCM Iendelee Kutawala Na Kutuibia Raslimali Zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.