Mkuu huo unaouita utaalamu mpaka sasa haujatupatia majibu ya maswali hapo juu, jaribu kufuatilia kwa hao wataalamu watakuthibitishia. Lakini ujue swala la afya linatuathiri mtu mmoja mmoja na kama taifa bila kujali utaalam kuanzia kwenye mipango, mapato, matumizi, na maisha ya kila siku. Tukikaa...
Kuna watu wengi wanapona kwa kutumia dawa za hospitalini pamoja na mitishamba kwa gharama ndogo (ya kawaida) lakini dawa hizi hazisisitizwi popote, yaani dunia imeamua kwenda na chanjo badala ya tiba huku wengi wakiangamia wakati tiba ipo. Je, ni kwamba hizi dawa hazifai?
Msaada wa chanjo...
Mahusiano ni mazuri pia ni matamu, mke mkarimu na unyenyekevu usioshaka, anayeheshimu na kujali mwenye upendo na huruma, asiye mpinzani wala mshindani anayeridhika na kushukuru, akijishusha na kujidunisha mahusiano kuyaboresha. Mpewa zawadi na kushukuru asiyekosoa kabla ya kushukuru, maana kwake...
Habari zenyu? naomba mwenye matokeo ya TPSC(Tanzania Public Service College) anisaidie nimejaribu kufungua kwenye web yao lakini hayafunguki. plz!!!!!!!!!!!!!
Najaza nafasi za x, Am Mr. Ibrahim from YOUTH PROGRESS au atakuambia from TROPICAL LTD (mimi amenitumia meseji mbili kila mmoja na kampuni yake) Namba 0754 962052, na hiyo ndo namba yake. SO BE CAREFUL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.