hahaha japan kazamisha meli na submarine kibao za U.s na U.k, U.s kaona hii ngumu kumeza kaamua kuwadondoshea nucs ndio wakawa wapole mpaka leo!ila japanese wakatili sana
ur speaking nonsense,ndugu zako wakikusikia unaongea huu upuuzi wanaweza kukuchapa,tz ni nchi nzuri sana,baada ya kufika hizi nchi za ukanda wa rwanda, burundi n uganda,personally nakili tz tumebarikiwa sana!hizi nchi zina matatizo sana,tuziombee kwakweli,and by the way tumuignore huyu binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.