BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Waislamu nchini na wapenda amani kususia bidhaa na huduma zote kutoka Uswisi.
Tamko hilo limetokana na hatua iliyochukuliwa mwaka jana na Serikali ya Uswisi kupiga marufuku ujenzi wa minara ya misikiti nchini humo na kwa mujibu wa kura ya...
Kundi la magaidi wa Somalia la Alshabab limetishia kupiga Bujumbura na Kampala.Kundi hili ni tawi la Alkaida la Osama Bin Laden.Makundi yote haya huamini utumiaji wa njia haramu ili kuweka serikali ya kiharamia iliyojificha nyuma ya uongo wa kisingizio cha kusimika serikali za kiislamu.Wana...
Na Festo Polea
10/16/2009
ASHISH Thakkar anatarajia kuwa Mtanzania wa kwanza kwenda mwezini wakati atakapofanya safari hiyo mwakani.
Mtanzania huyo, ambaye ni chotara wa Kiingereza alienda Ikulu jijini Dar es salaam jana kumueleza Rais Jakaya Kikwete kuhusu safari yake na kumuaga...
Huyu mbunge ana data za kushangaza katika makampuni makubwa aliyoonyesha yatapata hasara kubwa ni Twiga cement.Twiga cement mitambo yake inatrgemea zaidi gesi si umeme wa Tanesco katika uzalishaji wake hizo data za kusema hasara inakuja kwao kubwa mchumi koko wa Dowans? Ambaye hajui kuwa...
Pinda yuko sahihi kuvaa suti ni gharama mno kwa uchumi wa nchi na ni kumaliza pesa za kigeni.Kwa nini na sisi tusivae nguo za batiki na vitenge zinazotengenezwa na viwanda vyetu na pamba yetu humu humu nchini.
Kuvaa nguo zetu wenyewe kungesaidia kupanua viwanda vya ndani,vya ushonaji n.k na...
Hata dicteta Idd amin ana vitu vizuri vya kujifunza kutoka kwake mfano alipofukuza wahindi Uganda waliokuwa wakimiliki njia kuu za uchumi njia hizo kuu za uchumi zikiwemo maduka alikabidhi waganda wazishike mali hizo na hadi sasa zipo nenda kaone Uganda tofauti na Tanzania ambayo ilipotaifisha...
Nilibahatika kuwemo katika msafara wa wapiganaji wa misituni wasiokuwa na kombati wala vyeo wala pasipoti kutembelea nchi zinazoongozwa na maraisi waliokuwa wapiganaji wa misituni za Rwanda,Sudan Kusini na Eritria ili kujifunza kama viongozi hao wapiganaji wa zamani kama wana uwezo wa...
Television ya serikali ya TBC imekuwa ikirusha kipindi cha maigizo kiitwacho BONGO DAR ES SALAAM Kipindi hili kimekuwa kiki-u-promote na ku-brand jiji la Dar es salaam kama jiji lililo la matapeli ambalo kila mtu ajaye huko dare s salaam kutoka nje ya Dar es salaam ajitahadhari na atumie ubongo...
Kama mpiganaji wa porini nipo nikiwaza nchi itapata lini wapiganaji wazuri na ambao ni wazalendo kama mheshimiwa Luhanga aliyefariki jana ambaye alimfanya hadi Marehemu Raisi wa Msumbiji Samora Machel atembelee mkoa wa Iringa na atoe hotuba ndefu ya masaa matano kwenye uwanja uliopewa jina la...
Kuna mdau aliniletea taarifa za kutisha kuhusiana na wilaya ya kinondoni mkoani Dar es salaam.Akaniambia wagombea wote wa Uraisi wa vyama vyote vya siasa wana nyumba na makazi yao ya kudumu wilaya ya Kinondoni.Mawaziri na manaibu waziri karibu wote wana makazi yao na nyumba zao za kudumu wilaya...
NCHI ZILIZOTAWALIWA NA MFARANSA ZIPINDULIWE
Hivi mkoloni wa kifaransa alikuwa na matatizo gani.Nchi alizotawala mfaransa zinazoongea kifaransa zimejaa mapinduzi na migogoro ya kivita isiyoisha.Anzia Afrika mashariki viinchi kama Rwanda na Burundi fujo tupu ukienda Afrika ya kati nchi zote...
Nakumbuka sana vita ile na ndio ilinifanya niache jeshi baada ya kumtukana matusi ya nguoni mkubwa mmoja jeshini kwa kuwa alituzuia tusimkamate Idd Amini wakati tulishamzingira kisa eti mwoga Nyerere aliogopa eti reaction ya waarabu ingekuwa mbaya kwa nchi kwa kuwa walimtishia kutoiuzia mafuta...
Ni muda mrefu sikuweko nchini niliporudi kwa likizo nilishangaa kukuta Benki ya CRDB ambayo niliicha ikiwa ni shirika la umma iliyokuwa hatarini kufa wakati naondoka ikiwa benki imara ya ajabu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindana na mabenki makubwa ya nje kwa huduma za kisasa za kibenki...
Nimesoma katika mtandao kuwa Kakobe kamkemea Kikwete kuwa ni mpole mno kwa kutokemea nyaraka za Katoliki na waislamu kuwa waziache.
Namshangaa Kakobe kweli ni mnafiki.Mbona hakumkemea Kikwete na serikali yake ilipopeleka mjadala wa kadhi bungeni? Kwa nini hakumuuliza kIngunge kwa nini...
Watu watofautishe kuwa somebody katika bunge na kuwa somebody katika Chama.Mwakyembe ni somebody katika bunge lakini he is nobody katika CCM akigombea uenyekiti leo CCM pamoja na umaarufu wake katika bunge usishangae akatoka na kura mbili akabwagwa na kingunge au makamba who are nobodys katika...
Magezi nakubaliana na wewe hata mimi nafurahi mno kama kajitoa.Kitendo cha yeye kushupalia kutetea suala la Dowans kwenye kichwa changu litanichukua muda kulisahau na kumsahau Zito Kabwe.Mimi ni mmojawapo wa walioshauri kwa nguvu zote na mbinu zote Kabwe asikubaliwe nafasi ya uenyekiti.Ni mapema...
Mimi nikiwa mpagani mwandamizi naunga mkono.Napendekeza machache ya kuweka humo.
Napendekeza kuwa tutoe waraka wa kipagani wa kuwaomba wananchi wawachague watu wasiokuwa na dini uchaguzi ujao.
Tuwaeleze kuwa ,kwa kuwa Serikali haina dini mtu asiye na dini ndiye anafaa zaidi kuchaguliwa...
Taarifa nilizo nazo ni kuwa kuna sentensi aliitoa ambayo iliudhi watu walipomwambia asimpe uwaziri mkuu Lowasa kwa kuwa ni kibaka atakayemletea shida kwenye utawala wake hakusikia akajifanya kiziwi hakuwajibu pale bali alikurupuka akaenda kujichagulia mawaziri wake akina Lowasa na akina Karamagi...
Tume iliyoundwa na CCM kuchunguza mwenendo wa bunge sina imani nayo kabisa.
Mjumbe Msekwa alibwagwa na kutolewa uspika na Samweli sitta hivyo kisasi chake atalipiza kwenye ripoti ya hiyo kamati kummaliza Sitta kwa kumkosesha kitumbua cha posho na umaarufu wa uspika.Ana kazi ya kuthibitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.