Hatutaki double standards
Rasta ni sehemu ya imani yetu. Iruhusiwe kuanzia primary hadi vyuoni. Nina haki ya kueleza imani yangu bila kuvunja rules hivyo msifute
Mada nzuri sana hii mkuu FaizaFoxy . Kwa mtazamo wangu, umaskini wa waafrika in general na watanzania in particular upo kwenye mtazamo wetu kwenye kama maeneo matatu manne hivi:
a) Ni hodari wa kutumia tusicho nacho.
Hili ni tatizo kubwa.Ni watu tusio ridhika na kipato tulicho nacho na...
Who will run these projects successfully if education quality is ignored and put at the mercy of politicians?
Yaan erimu isiwe kipwaumbere harafu tutegwmee maendeleo?
Hata hiri kwakua wachangiyaji wengi hapa wanashindwa kuorewa maana halisi ya post hii na ubovu wa rugha ilio tumika ni ushahidi kwamba analytical skills of the nowadays students have fallen below the average
Think a bit what I am trying to convey with the use of the errors...
Shida tunafulahia kukisoa na Uzi huu wengi wamesoma kicha cha habali na kukomaa ma luga.
Ndio Matola kwani ta tizo ripo wapi kaka?
My Swahili is a bit poor, but I had to use the language as the addresse is poor at English or French language
I am not that good at Swahili, but as my post targets Mr President directly whose English is miserable, I decided to try my best to write in the language that he can grasp the meaning
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.