Fuso lililikuwa linatokea Mbezi mwisho limeacha njia na kugonga magari manne na kuumiza watu kadhaa mpaka sasa bado watu wanatolewa chini ya fuso.
Ushauri .
Kwa kuwa kuna foleni kubwa unashauriwa kutumia njia nyingine za pembezoni.
Wimbo wa mama ni kweli unapendwa sana tena na kila mtu kwa kuwa tu kila mtu anampenda mama yake hii ndio sababu jamii ikaukubali.
Tatizo ni pale unaposema 'mama ulinitoa duniani' unaharibu maana pana ya wimbo ni kweli wapo wanawake huwatoa watoto wao duniani baada ya kuwazaa.
Kwanini hamsemi...
nifurahishwa na habari ya kuitangaza tanzania kuhusu vivutio vitano vya kuona ukiwa tanzania
ni habari iliyopewa kipaumbele (headline) tangu jana
hongera mh.razaro nyarandu
hongera bernad membe
hongerw mh.rais kikwete
Leo jioni mjini Arusha mahasimu wawili rais S.Kiir na na waziri wake mkuu Machaar watakaa meza moja kwa mara ya kwaza chini ya usuruhishi wa comrad Kinana.
Chama SPLA kiliomba msaada wa usuruhishi wa mgogoro wao baada ya kugundua ulikuwa ni mgogoro wa kichama zaidi. Taarifa zinasema kuwa...
Salaam wana JF.
Poleni na majukumu kama kichwa cha uzi kinavyo someka.
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka na miezi minne hapati usingizi ikifika saa nne za usiku ndio michezo inazidi na anataka kampani mwanzoni tulihisi ni kawaida ila siku zivyosonga anaonekana tabia imekomaa
Mimi na wife wote...
magazeti ya leo yamewanukuu viongozi wa BAWACHA wakiapa kuandamana hadi ikulu kwa rais kushinikiza bunge la katiba kuvunjwa
hali hii ni baada ya makada wa kiume walio hamasisha maandamano ya kwanza nchi mzima kushindwa kwa asilimia 100
my take.chadema wameamua kutumia huruma za polisi kwa...
Amama mbabazi amefukuzwa kazi ya boss wake rais Yower Mseveni na hivi punde amemteua Mr.Ruhakana kukumata nafasi hiyo
Mbabazi alikuwa barozi wa kudumu wa uganda UN aliteuliwa kushika madaraka hayo Mara baada ya uchaguzi uliopita
Wadadisi wa siasa za Uganda wanasema imechangiwa na mbio za...
Ni ukweli wachaga wangu ni weupe na wazuri wawe wanaume au wanawake
Akiwa mweupe na roho yake nyeupe ni raha sana katika maisha .biashara au hata mapenzi
Akiwa mweusi na roho yake ni nyeusi hafai mkimbie haraka
Hui ndio ukweli kama unabishi jaribu na ulete feedback
Note.Mimi sio...
ukipass tu unaanziwa mikwara
ukifika tu shuleni
kupiga simu chooni hasa ukiwa jeuri utakoma ubishi
wasichana mpaka watoe penzi kwa wababe
juingia form one kwa miaka hiyo ilikuwa tabu sukuhizi yameisha
1.usimwadhibu wakati au kabla ya kula
2.usimshitaki kwa mzazi mwenzako .mfano amekosa na baba hayupo et unamwambi nitakusema kwa baba yako
3.mpe moyo kabla ya kufanya mtihani na msifie akifanya vizuri pia mpe hata zawadi kidogo yenye kimuwekea kumbukumbu.
4.akishindwa kuwa upande wa...
ni gari la mafuta baada ya kufunguka koki ya mafuta ilianzia kimwaga mafuta Kimara Suka na waligundua wakiwa kara Temboni.
kama unatoka mjini nakuomba utafute njia mbadala
tony gwanco .suka kimara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.