Wanawake baadhi hawapendi kununua “pregnancy test” kwenye maduka ya dawa,
wengine pia mara nyingine hawamudu kununua kipimo hicho,
na wengine wanapenda tu kujihakikisha vipimo vyao hasa kwa kutumia njia za kawaida nyumbani.
Kutumia dawa ya meno kwa ajili ya kupima ujauzito inaonekana kuwa njia...
JAMANI MAISHA YENYEWE NDO HAYA HAYA
mnao oana msitifanyie hivi,,, kumbukumbu muhimu sana sisi kama vijana tuna kampuni yetu inayo jihusisha na sherehe mbalimbali kwa bei inayoendana na kazi
065551912
MIMBA NA NDOA ZISIZO TARAJIWA.......
Habari... leo naomba tuangazie hili swala japo sio kwa undani lakini litaweza kukufungua ama kukufikisha pale unapotaka...
ndoa ni kitu cha kuheshimika kwa dini zote na hata wale wasio na dini ndio zinweza kua na maana kubwa kwenye maisha yao..
kuna baadhi...
Kuna kale kamfumo ka kutumia picha za uchi hii kwa kiasi kikubwa imepoteza thamani ya tendo la ndoa kwa vijana ambao hamjaoa/kuolewa.
Sijawahi jua kametoka wapi alafu haka kamchezo.
>> Msamaha ni neno dogo sana lakini linabeba uzito zaidi ya tani mia moja ......... kusema samahni kunaweza kukuon gezea thamani kubwa isiyo elezeke... samaahani yaweza rudisha mahusiano yaliyo potea kwa muda mrefu saana... samahani inaweza kuunganisha wewe na wale wanao kuchukia....
wengi...
kuna muda unaweza ona kama kwenye mahusiano unaonewa lakini hapana, mahusiano mpaka yasimame huchuku muda mwingi sana, ni sawa na binadamu au mnyama kunenepa unaweza konda kwa wiki moja lakini kunenepa itakuchuka muda kidogo,,
mahusiano ni kitu kisicho hitaji hasira bali werevu wako ndio nguzo...
Kuna muda unaweza ona kama kwenye mahusiano unaonewa lakini hapana, mahusiano mpaka yasimame huchuku muda mwingi sana, ni sawa na binadamu au mnyama kunenepa unaweza konda kwa wiki moja lakini kunenepa itakuchuka muda kidogo.
Mahusiano ni kitu kisicho hitaji hasira bali werevu wako ndio nguzo...
Caring na kujipedekeza ni mstari mdogo sana unaotofautisha mtu anaejipendekeza hufanya vile kukupa attention na mtu huyo hutaka kitu toka kwako mtu anaekujali.
Ni yule anaejua thamani yako na unaumuhimu gani kwake unaweza mjali akaona unajipendekeza, unaweza jipendekeza akaona kama unamletea...
Kila siku najuliza sijui makalio yana uhusiano gani na macho utamkuta mtu yupo na mkewe nae anatako kubwa tu ila kakipita kabinti kengine kana kijikalio mtu lizima ageuke upo kwenye daladala mdada kakatisha lizima ugeuke.
Naombeni kujua uhusiano kati ya makalio na macho.
Haya mambo yote yanayoendelea Dar yameletwa na wanafunzi wa kidato cha nne mwaka jana 2016 kufeli katika zile top ten sijaona Dar kuwepo. Mh. anataka kusafisha mji kwanini asianze na waliofeli? Atafute sababu haoni kama angetatua elimu ingekua bora zaidi then aje na hizi ishu za madawa siju...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.