Hawana utu na utashi kwa kuwaelimisha wa Tz kwani wao si wananafasi tayari na watoto wao wanasoma wapendako. Ila yana mwisho wake hayo. Walimu wapo mtaani na kunashule hazina walimu. Nenda Mpanda ndogo, Namanyere, Mwese, Kasulu, Muleba, Ngara, Geita, Buziku, Butundwe, N'nkome, Magu, Shirati...
Tatizo lenu walimu mkiambiwa kugoma hamtaki. Na hata mkigoma inakuwa wakati wa likizo. Gomeni wakati wa mitihani ya kidato cha 4. Mbona madaktari waligoma tibu wagonjwa? Mtapata vi mishahara kiduchu na kwa kuchelewa hadi basi.
Jamani mie huwa nachelewa sana yani goli la kwanza ni dk 30. Hapo nakuwa nimesha fanya romance ya kutosha huku mwenza wangu njia ikiwa inateleza tayari kwa kupokea. Mie nafikiri ni jinsi ya kutumia akili. Ukiona inataka kutoka vuta kumbukumbu ya jambo lilo kuogopesha hapo haitoki kwani akili...
Kwani tar 31 mbali? Itafika na watajuta huo uongo wao. Na hili ndo sababu hata walimu hawafundishi kwa moyo na kufelisha huku watoto wao wakijitahidi waende shule nzuri. Serikali iamke na ahadi zake sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.