Ndugu watanzania wenzangu haitaji elimu ya chuo kikuu kusema serikali ya CCM imeshindwa kuongoza nchi ya Tanzania ambayo imejaliwa utajiri mkubwa kama vile madini,mbuga za wanyama,misitu,bahari,maziwa ,mito,mabwawa,mabonde,ardhi yenye rutuba na watu wenye vipaji vya kila aina swali muhimu la...
Awali ya yote namshukuru mungu kwa kunijalia afya njema na kunipa fursa ya kupata elimu ambayo bila shaka ninalo deni kwa wananchi wa Mufindi,mimi nimezaliwa kijiji cha kihanga,wilaya mufindi,mkoa wa Iringa leo nitagusia kwa ufupi mambo matatu ambayo yapo mufindi lakini bado watu wake ni...
Ndugu watanzania wenzangu kwa muda mrefu nimefanya utafiti kuhusu uendeshaji wa halmashauri zetu hasa kupitia manispaa ya Tabora ambayo ina jumla ya kata ishirini na tano japo kutokana upeo mdogo wa madiwani wetu wanampango wa kugawa kata zaidi ya tano lakini kata zilizpo kwa majina ni kama...
Watu tumekuwa na hamasa kubwa tangu utaratibu wa uzinduzi wa kanda ya magharibi ambayo inaundwa na mikoa ya TABORA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI ulipotangazwa lakini leo ni mara ya pili kuhahirisha mkutano wa uzinduzi ndiyo maana tumekwazika sana kwa athari zake ni kama zifuatazo(1)Viongozi wanapewa...
Watu tumekuwa na hamasa kubwa tangu utaratibu wa uzinduzi wa kanda ya magharibi ambayo inaundwa na mikoa ya TABORA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI ulipotangazwa lakini leo ni mara ya pili kuhahirisha mkutano wa uzinduzi ndiyo maana tumekwazika sana kwa athari zake ni kama zifuatazo
(1)Viongozi wanapewa...
Nimeona ni busara kujibu kwani kuna mwana jf haelewi tofauti ya ufunguzi wa kanda na mikutano mingine ambayo imewahi kufanywa na CHADEMA kwa ufupi ni kwamba huu ni mkakati mpya ambao tunalenga kumalizia kazi ya kumzika marehemu CCM
Kwa masikitiko makubwa Taifa letu la Tanzania kwa makusudi tumeamua kuwaachia viongozi wahuni na wapuuzi wa serikali ya CCM wachezee akili za watu, ndugu watanzania wenzangu naomba tufanye yafuatayo:
(1)Serikali ilete mitaala yote ya elimu ili tuhakiki uhalali wake.
(2)Mfumo ambao inatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.