Tanesco wana matatizo gani Sinza, Mbona umeme unakatika siku zote? Sinza maeneo ya Saroi Hotel (Karibu na Sinza Deluxe) Chimwaga Road. Hakika wananchi wanaoishi maeneo haya wanateseka kwakweli. Sijui ni mgao ama tatizo ni nini? Toka tarehe Moja mwezi wa pili 2018 umeme haujawahi kuwaka siku nzima.
Binafsi naamini maneno uliyoyasema kiongozi. Kwa wananchi wa Tanzania Ben ni Msema ukweli, ni mtetezi wa haki na mpigania maslahi ya Nchi. Lililomtokea, katika hali yeyote ni rahisi kuhusisha na msimamo wake usioyumba dhidi ya maovu. Na kama unayosema ni kweli, basi tumwachie Mungu.
Huyu jamaa ni mwizi, na hii application ni ya utapeli. Nawashangaa Ridhiwan Kikwete na Mbunge wa Mbeya Mjini Mr. Sugu, kumsifia mgunduzi wa application hii, wakati wakijua ni ya kitapeli na inatumika kulaghai watu ili kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu. Shame on Sugu na Ridhiwan...
Discipline ya kusoma vitabu ni mbovu kwa waafrika...ndio maana hatujui vitu tunabaki kulalamika tu. Tusome!!
Na muheshimiwa pia asome...cheo chake ni dhamana yetu...
Sasa huyu waziri mbona hivi? Hivi hajui wakati mwingine mtu unashikwa hadi unatamani kubaka kuku? Ngoja vitendo vya uharamia wa ubakaji viongozeke, ndipo watakapojua kuwa biashara hii ilikuwepo kabla wao hawajakuwepo.
Wao badala ya kuelimisha watu watumie kinga...wanaleta vitisho. Na huenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.