Natafuta rafiki wa kike anayejitambua,umri miaka 20 mpaka 32. Mimi nina miaka 33,nimeajiriwa na naendesha maisha yangu kawaida. Urafiki huu utatupeleka kwenye mahusiano ya kudumu pale tutakaporidhiana. Karibuni pm.
I'm a Tanzanian man,35yrs old,i have worked in Tanzania with a local company as a junior manager for 6years. I have a good experience on irrigation and mechanisation. Am looking for chances outside Tanzania that will expose me to the world. am good in building the working team. whoever is...
Saa 6.40mchana, kituo cha gerezani,kijana mmoja anaonekana akikata tiketi na kwenda kusubiri basi la Kimara liingie. Mabasi mengi yamepaki ilihali abiria wengi wakiwa wamesimama wakisubiri. Hawana wa kumuuliza,wamekata tamaa na wananung’unika chini chini.
Basi linatokea saa saba na nusu,tayari...
Wadau,naomba msaada wa wa kupatiwa mawasiliano ya Raisi mtaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa Benjamin W.Mkapa,nina ujumbe wake muhimu sana.
Yaweza kuwa anuani ya Posta,barua pepe au simu yake.
Asanteni
Kwa matokea haya kidato cha nne mwaka jana aweza kusoma diploma ya pharmacy?Physics-D,Chemistry-D,Biology-C,Basic Mathematics-B plus,History/kiswahili-C,Geography/English/Civics-D
Siku 14 kanda ya Ziwa! Mwanza: hoteli na chakula safi,gharama nafuu,mazingira yanavutia,machinga makoroboi bado wapo....,daladala sumbufu,vituo vya foleni ya kupakia zaidi ya vitatu(kishiri-buhongwa) mamlaka husika fuatilieni;chato stendi yenu aibu,magufuli uko wapi! Muleba stand,choo kichafu...
Habarini ndugu zangu! Mimi ni mwajiliwa kampuni x,kipato changu kwa mwezi ni 1.5m,nina mke na mtoto!
Katika maisha kuna plan tofauti
A-Nyumba,gari,vitegauchumi;
B-Vitega uchumi,nyumba,gari(au gari,nyumba)
Niliamua kufuata plan B,nikawekeza kwenye kilimo na ufugaji ili kuzalisha milioni 30...
Habarini wana Jf! Nafikiria kununua machine ya kusaga na kukoboa ili kuweza kupata pumba kwa ajili ya mradi wa ngurue utakaoanza baadae. Machine hizo zitafungwa Chunya vijijini(Mbeya). Wazo ni kukoboa bure kama mtu atakubali kuacha pumba na kusaga kwa pesa. Wenye uzoefu,gharama ya mota(Mbili)...
Nina uzoefu wa miaka miwili nafasi ya meneja msaidizi wa kitengo katika kampuni kubwa ya sukari tanzania,nahitaji changamoto mpya za kikazi,watu wapya na mazingira mapya! naweza maji na umwagiliaji,mechanization na any engineering related job! nipm!!
Wadau nisaidieni a,b,c za uzalishaji wa vitunguu swaumu,vinalimwaje,na majira yepi na inachukua muda gani mpaka kuvuna? mbegu zake zinapatikana wapi kwa moshi! asanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.