Search results

  1. K

    Asili ya shikamoo

    Wanajamvi mwenye kufahamu kitabu au jarida la historia au lugha ya Kiswahili linalozungumza juu ya asili ya shikamoo, atupie jina la kitabu na mwandishi.
  2. K

    Wale wanaojua lugha ya kipimbwe

    Wanajamvi habari zenu! Kwa wale eanaojua kipimbwe, lugha inayozungumzwa wilaya ya Mpanda sehem iitwayo Mpimbwe atokako Mizengo Pinda. Ninataka kukusanya msamiati wa vyakula vya aina zote vinavyoliwa na wapimbwe. Lengo baadae nitengeneze kamusi ya kipimbwe_kiswhili, lakini kwa msamiati wa...
  3. K

    Msaada wenu tafadhari

    Nashukuru mkuu..lakin unaweza kum PM vp mtu wakati kwenye page hakuna option hiyo?
  4. K

    Msaada wenu tafadhari

    Ndugu wana Jf naomba kujuzwa juu ya hili, unakuta kunamjumbe walati anachangia hoja katika tread mwisho anasema nitaku 'PM' mim binafs sielewi huwa wanamaanisha nin...tafadhali naomba kujulishwa
  5. K

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Mkuu tashukuru xana
  6. K

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Bigbro nashukuru kwa ushaur wako, ni kweli kabisa hata mim blood group langu ni o japo sijui kama ni o+ au vinginevyo, jambo nalotaka unisaidie pia mkuu ni wap tampata Dr wa alergy?
  7. K

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Kaka nashukuru kwa ushauri, lakini katika hatua zangu kabisa za matibabu kabla ya kwenda hospitali nilikuwa natumia mafuta ya brake tena kwa kupaka mwili mzima coz nilikuwa naletewa na kaka zangu, yalikuwa yananisaidia kwa muda zinarudi tena, possibly kama ulivyosema itakuwa aleji....lakin wapi...
  8. K

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Wanajamvi habari zenu? Kwa takribani miaka 15 ninasumbuliwa na mba mwilini, tiba hospitali nimepata mara kadhaa ikiwemo kupewa dawa ya mba ile ya maji ya kijani, dawa ya tube ya kupaka na vidonge vya kumeza, hivi mara ya mwisho oct 2012 nilienda hospitali nikapewa tube ya kupaka na nikaambiwa...
  9. K

    Ogopeni kusoma kombi dhaifu

    Yan wewe daraja la kuwa mjinga umevuka na sasa uko katika daraja la upumbavu kabisa...shenzi wewe mvivu wa kufikiri, yani kama ungekuwa kuku basi mawazo yako hayapenyi zaidi ya kufikilia pumba unazopewa. Nan kakwambia kuna combntion ngumu? Na nan kakwambia ukisoma comb za sayans utakujasoma...
  10. K

    Hons bachelor degree...

    Si lazzima uwe na first class..unaweza kuwa na gentleman lakn GPA yako ilikuwa inapanda
  11. K

    Ushauri juu ya faculty gani ya kusoma (kuchukua) chuo kikuu

    Kijana unakera sio siri..hata kama ni ndoto bac hayo ni maluweluwe, kuomba ushauli ni facult gani usome kama ulisoma hkl si dhambi, lakn unafkia hatua ya kupanga matokeo wakati hujui hata mtihan utakujaje? Baba ako ndo katunga? We unadhan B zinakuja kiholela namna hiyo? Embu subir matokeo kwanza...
  12. K

    Kipi bora kt ya A level na Technical education

    Acha ujinga wewe ualim sio dampo kama unavyofkir...unadhan wote tuliopo kwenyeualim tuna 3 au 4? Mi binafs nina 1 o-level na 1 A-level lakn npo kwenyeprofsn hii...badili mtazamo na usiwe mvivu wa kufikir.
  13. K

    Hons bachelor degree...

    kigezo cha kupata Hon kwa udsm ni GPA kumaintain isishuke...iwe palepale au uwe unaipandisha mwaka hadi mwaka, pili usiwe umeshapata sup.
  14. K

    Shule gani ulizososoma wanashusha viboko kisawasawa

    Ninamashaka na kama unakijua ulicho kisema, kijana maendeleo yoyote yale hutokea kwa hatua moja baada ya nyingine na pia huitaji muda, kijilinganisha wewe na baadhi ya nchi za ulaya kama Uingereza ni sawa na kuruka hatua ya makuz na ustarabikaji, kumbuka kwamba mataifa ya ulaya ndio yalikuwa...
  15. K

    Hillary Clinton endorses same-sex marriage

    world with no marals is likely putting it to an end, we are rational beings capable to think and decide our destiny not like animals does, let the world not be led by money and irretional people,lets decide as people who are to live in the flesh of generation to come.....honestly gay marriage is...
  16. K

    Mwalimu wa kiswahili na geography anahitajika

    Mim nipo wa masomo hayo husika, nina shahada lakn kwanza nataka kujua scale yenu ya payment
  17. K

    a = TANZANIA: SABABU ZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 KUWA MABAYA NI HIZI HAPA: &&&&&&

    Mleta uzi have my thumb up...hoja zako ni nzuri lakn watakubana wakuu kwenye credibility of the sourc.
  18. K

    Uhamiaji koplo na kontebo.

    hivi wanajamvi anayejua ngazi ya mshahara uhamiaji-kontebo tafadhali anijuze.
Back
Top Bottom