Mimi naona wana JF wengi wanaochangia humu siyo wadau wa Elimu! Nasema hivyo kwa sababu mabadiliko haya yalishatangazwa zaidi ya miaka miwili iliyopita sasa, na Wakuu wa shule zote walishapewa barua na vijitabu vya kuonesha mwongozo wa kutunuku kuanzia mtihani wa O-level 2014 na kuendelea kwa...
Mleta mada sijakuelewa, ebu weka takwimu kama hizi za Vijiji na Mitaa/Halimashauri kwa mwaka 2009 ambapo mwaka uliofuata 2010 Mbowe alishinda. Mwaka 2009 kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitata hali ilikuwaje? Ebu wasilisha data hizo ili ku-justfy hoja yako!
Wewe dogo umewahi kuona lini, mtihani umefanyika mwezi wa 11 halafu unaanza kuuliza matokeo mwezi wa 12? Tulia, subiri vipimo vya Dokta Msonde. Kama ni Komputa, nenda ukasome salama!
Siku watanzania wote watakapopata akili ya kujitegemea (kujua mema na mabaya), Mungu atarudi wiki hiyohiyo! Inashangaza sana hata huyo Hakimu anayepoteza muda wake kushughulikia suala la kesi ya Bendera (Kaniki) ya CCM na kutoulizia wizi wa fedha ambazo zingeweza kusaidia hata ndugu yake kupata...
Nadhani ni mapema sana kuita Mkutano Mkuu sasa hivi! Utakuwa na maana zaidi kama utafanyika baada ya marudio ya uchaguzi kukamilika (sehemu zilizoahirishiwa uchaguzi). Vinginevyo hakutakuwa na tofauti kati ya UKAWA na Nape aka MC (Msema Chochote).
Ukitaka kumtawala maskini hakikisha hapati elimu ya kutosha, hapati cha kula cha kutosha, hana hela kwa miezi 12 kwa mwaka. Ila awe na karedio ka-band 2. Ikiwezekana kawe na uwezo wa kushika RTD, Radio Free Africa na Uhuru FM. Siku ya uchaguzi mletee 5000/=, Fulana na Kofia zenye picha ya...
Mtoa mada alitegemea Mbunge Mdee awe anagawa; Kofia, Kanga, Chumvi, Gongo na Mataputapu kama wanavyofanya Magamba wakati wa uchaguzi kwa imani kwamba wananchi ni mazezeta watagawana Sh. 5000/= familia nzima kwa miaka mitano! Watu sasa wanafahamu tofauti kati ya Unga na Bange, unapoteza muda...
:llama:Dogo Mtihani wa Kidato cha Pili hautolewi wala kusimamiwa na NECTA, ni Mtihani wa Kanda za ukaguzi chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Tofautisha kati ya Gongo na Konyagi!
:peep:Dogo Baraza la Mitihani hawana mamulaka ya kisheria kuchukua hatua dhidi ya mwalimu/waalimu. Mwenye mamulaka ni mwajiri wa Waalimu ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu au TAMISEMI.
:llama:Taarifa zilizopo mpaka saa sita usiku wa kuamukia leo ni kama ifuatavyo:
Chadema wameshinda katika kata zifuatazo;
Nyamulukano
Lugata
Iyela
Bashnet
Dongobeshi
Iseke
Ifakara
CCM wameshinda katika kata zifuatazo
Genge
Minepa
Makuyuni
Dalai
Mbalamaziwa
Mianzini
Tingeni...
:llama:Kwa kadri ninavyofahamu, hiyo namba ya Simu imetolewa ili mtume ujumbe ambao hautafanyiwa kazi. Badala yake mutaambiwa leteni ushahidi hata kama utasema waziwazi kwamba ulikuwepo "live". Hii ni funika kikombe mwaharamu apite, Mmepewa nafasi ya kuondoa upepo tu! Chezea CCM wewe! Unadhani...
:llama:Inasikitisha kuona kwamba mleta mada hana kumbukumbu sahihi! Mwaka uliopita St. Mary's na Green Acres zilikuwa nafasi ya ngapi? Au metumwa ili kupoteza muda wa watu? Shule hizi ziliwahi kuvuma enzi walizokuwa wananunua Mitihani, na tangu mwaka 2008 hawajawahi kuwemo hata kwenye 40 bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.