n vzur kuisaka hiyo CPA...nadhani mtoa maada alikuwa akiuliza kwa vzur na hakuwa na maana hiyo ya eti nikaichukue ama nikaiokote...maadam mmemwelewa basi n vzur mkamjibu kama inavyostahili na cyo kumjb kwa kumkebehi...by the way, kama kwako CPA kuipata n ishu basi kwa wengine n rahisi tu mbona...
hapa kila mtu analo lake..mwingine atasema hawaajir kwan wamesitisha mzima uku mwingine atasema subirieni mwez wa pili n.k. hakuna mwenye uhakika ktk ilo...kama vp nikushaur uende 1 kwa 1 hadi makao makuu ukaulizie, then ndo utapata uhakika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.