"Tunakukumbusha kutumia weledi wako mkuu kumshauri Mh. Raisi JP Magufuli, hasa juu ya wajibu wa Mawakili na maadili ya kazi zetu" we unataka kumponza mh. waziri.. raisi ameshasema "mimi ni raisi ninae jiamini siwezi nikapangiwa na hata siku ya kwenda kuchukua fomu nilichukua mwenyewe hakuna mtu...
"Hakuna asiyefahamu kuwa hakuna watu muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu kama wanasheria wenye uzalendo uliotukuka na mapenzi mapana kwa nchi yao" kwahiyo unataka kuliambia jukwaa hili tukufu kwamba mwanasheria msomi na mahiri Mh. Lissu hana UZALENDO uliotukuka na hana Mapenzi Mapana kwa nchi yake?
Kama huna cha kusaidia bora ukae kimya, huyu atakuwa ameomba msaada apate ABCs ya hiyo course.. siyo form six wote wana uelewa na haya mambo ya kuchagua course na kujua in deeep contents zake na areas of experience.
lets be as a family in which we share our weakeness and strengths
hizo calculation nimefanya straight from the calculator with regards to feeded exchange rate n CIF kupata customs value ndo ikanipa hiyo figure. 10.7M ni exchange rate kiaje? au una maanisha ndo Cost Insurance n Freight?
mapato yanapanda from previous unpaid or pending transactions... ts da same kama wanavyofanya NHC saiv, yale mabilions ni madeni ya nyuma n not new n fresh collections
mapato yanapanda from previous unpaid or pending transactions... ts da same kama wanavyofanya NHC saiv, yale mabilions ni madeni ya nyuma n not new n fresh collections
Kaka yangu amehamishiwa dodoma, ameniachia shamba la ekari zaidi ya 10 huko mkuranga (mwarusembe), nataka nifanye kilimo cha kisasa.
Shamba hilo lilikuwa pori kubwa tu but nimelifyeka tayari na kulisafisha lakini nimekosa mtaji wa kuendelea kununua mbegu, kupanda na mahitaji mengine ya...
Kaka yangu amehamishiwa dodoma, ameniachia shamba la ekari zaidi ya 10 huko mkuranga (mwarusembe), nataka nifanye kilimo cha kisasa.
Shamba hilo lilikuwa pori kubwa tu but nimelifyeka tayari na kulisafisha lakini nimekosa mtaji wa kuendelea kununua mbegu, kupanda na mahitaji mengine ya...
Wanajamvi nina mdogo wangu anataka arisiti mtihani wa kidato cha nne mwakani 2016, ni shule gani nzuri yenye ufaulu mzuri kwa hapa DSM naweza kupata;
sifa
1. iwe ya boarding
2. trend nzuri ya ufaulu kidato cha nne
3. iwe mkoa wa DSM
4. ufundishaji mzuri wa masomo ya HISTORY, GEOGRAPHY...
Wanajamvi nina mdogo wangu anataka arisiti mtihani wa kidato cha nne mwakani 2016, ni shule gani nzuri yenye ufaulu mzuri kwa hapa DSM naweza kupata;
sifa
1. iwe ya boarding
2. trend nzuri ya ufaulu kidato cha nne
3. iwe mkoa wa DSM
4. ufundishaji mzuri wa masomo ya HISTORY, GEOGRAPHY, CIVICS...
Mdogo wangu amepata civ - 'E' hist - 'E' geo - 'E' kisw - 'C' engl - 'D' chem - 'D' bio - 'D' b/math - 'F'. Nataka akasome certificate yeyote ya business kati ya vyuo hivi 2; ita ya mwenge na cbe. Wadau naomba kufahau kama anaweza kupata nafasi.
Msaada tafadhali
asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.